BARNABA Asante cover image

Asante Lyrics

Asante Lyrics by BARNABA


Baba what more can I say?
Haimaanishi kwamba sikosei
Ila bado unanilinda 
Kila kukicha pumzi hunipa
Baraka tele unanipa
You're so kindness 

In the name of The Lord of the mass 
If you believe in God many things will be okay
Maana Mungu anatenda kila wakati, stand up

Kuna matatizo nilishapitia aki nikachukia dunia 
Mungu akanihurumia akanifanya mpya Baba
Sitetereki sihangaiki, sipapatiki mimi
Wanafanya vingi wanipige ngwara 
Ili niende chini ila wapi

Mabaya anazuia (Mungu hataki)
Mikosi anapangua (Ooh ila wapi)
Mabaya anazuia (Eeh Baba hataki)
Oooh..

Kuna muda nilisaka sarafu sipati
Hadi najichukia yoo
Nilipotaka mke mwema nikawa sipati
Akanisaidia Baba

Mabaya anazuia (Mungu hataki)
Mikosi anapangua (Ooh ila wapi)
Mabaya anazuia, Oooh..

If you believe in God many things will be okay
Thankyou Lord of the mercy
Thankyou Baba Nagode 
You bless me each and everyday

Maisha yangekuwa simu ningeweka bando
Nichati niwezavyo
Maisha yangekuwa nyumba ningemimina zege
Idumu iwezavyo (Aaah)

Ila yuko Mungu yaani ni mvunja vyungu
Hata waganga wanamwomba yeye
Au nikakape na marungu 
Yaani niwape watu uchungu 
Yaani ni wakati uko wewe Baba

Nijalie uzima, nimezingirwa kila kona
Maadui wako wengi sana 
Wengine siwezi kuwaona
You are so kindness, you are my bodyguard
You are my policeman siogopi Baba

Mabaya anazuia (Mungu hataki)
Mikosi anapangua (Ooh ila wapi)
Mabaya anazuia (Eeh Baba hataki)
Oooh..

Kuna muda nilisaka riziki sipati
Hadi nakajichukia ooh
Kuna muda nilisaka mke mwema sipati
Akanisaidia Baba

Mabaya anazuia (Eeh Baba hataki)
Mikosi anapangua (Ooh ila wapi)
Mabaya anazuia (Eeh baba hataki)
Oooh..

Baba what more can I say?
Haimaanishi kwamba sikosei
Ila bado unanilinda 
Kila kukicha pumzi hunipa
Baraka tele unanipa
You're so kindness 

Baba what more can I say?
Haimaanishi kwamba sikosei
Ila bado unanilinda 
Kila kukicha pumzi hunipa
Baraka tele unanipa
You're so kindness 

Watch Video

About Asante

Album : Refresh Mind (Album)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020 Hightable Sound
Added By : Huntyr Kelx
Published : Dec 15 , 2020

More lyrics from Refresh Mind album

More BARNABA Lyrics

BARNABA
BARNABA
BARNABA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl