Kidera Lyrics
Kidera Lyrics by BARNABA
Mtoto kakunja dera
Katikati ya masela
Eh eh wazee vipi
Aah anatubipu
Mtoto kisambusa eeh
Amina shika ukuta mama
Nisimamie ukucha sio sana
Hepi ya bato
Usisahau mafuta
Upepo mwingi utapauka mama
Hatujifuniki shuka
Chumbani tuna kipusa mama
Nimekuita mwenyewe
Unakuja na timu
Raha ya bia tulewe
Tupandishe steam mama
Dawa ya moto ni moto
Ya moto ni moto
Dawa ya moto ni moto
Unakoleza
Waungwana nina swali (Uliza)
Niwaswali je
Ngoma ikivuma inakuwaje?
Inapasuka (Aah inapasuka)
Inapasuka (Inapasuka)
Inapasuka (Inapasuka) Pasuka
Mtoto kisambusa eeh
Amina shika ukuta mama
Nisimamie ukucha sio sana
Hepi ya bato
Usisahau mafuta
Upepo mwingi utapauka mama
Hatujifuniki shuka
Chumbani tuna kipusa mama
Nimekuita mwenyewe
Unakuja na timu
Raha ya bia tulewe
Tupandishe steam mama
Dawa ya moto ni moto
Ya moto ni moto
Dawa ya moto ni moto
Unakoleza
Mama sitaki maharagwe
Nataka mlenda
Nakupa sababu moja tu
Unateleza mama
Dawa ya moto ni moto
Ya moto ni moto
Dawa ya moto ni moto
Unakoleza
Waungwana nina swali (Uliza)
Niwaswali je
Ngoma ikivuma inakuwaje?
Inapasuka (Aah inapasuka)
Inapasuka (Inapasuka)
Inapasuka (Inapasuka) Pasuka
Dawa ya moto ni moto
Ya moto ni moto
Dawa ya moto ni moto
Unakoleza
Mama sitaki maharagwe
Nataka mlenda
Nakupa sababu moja tu
Unateleza mama
Dawa ya moto ni moto
Ya moto ni moto
Dawa ya moto ni moto
Unakoleza
(Kwa Mix Lizer)

About Kidera
More lyrics from Refresh Mind album
More BARNABA Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet

Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2022, We Tell Africa Group Sarl