Juu Lyrics by RAYVANNY


(It's S2kizzy beiby)

Maboya wanateta, kama mi napeta
I'm making my paper (Making my paper)
Sijachana mikeka mifuko imecheka
Sa mwendo wa mateka

Mikono juu (Eeh), mikono juu (Eeh)
Mikono juu (Eeh), mikono juu (Eeh)
Mikono juu (Eeh), mikono juu (Eeh)
Mikono juu (Eeh), mikono juu (Eeh)

- wanataka battle ila mi nawaweza
Hata kucompare
The rap heat na ndo zinazo tamba on air
King juu ya chain, dollar ju ya udone air
So ukiwasha moto so kiki wanajua wanakuchochea

Cause I've killing rappers kama nyinyi
Na sio peke yako labda uje na wenzako themanini
Maana mie peke yangu kama rappers mia 
Na nyinyi sitini
So uje na rappers wote ambao wanabeef na mimi

Si funny huwa sichekagi na adui vitani
Mi na shetani akiskia beat ananipanda kichwani
Na mama zako siku zote wanadata na fani
Watachana ila kupendwa na mavijimama ndo sidhani

Na nata utanitaka, na ndio maana watoto wanadata
Ju skinny nanata swadakta na nyumbani ukiwa ndani utanipata
Ukinikata una cheese ya mambata 
Sio uoga nguo -- tunamfuata
Utamu huwaga ndo utamu wa bata
Ulichokitaka ndo unachokipata sasa
Bitch!

Maboya wanateta, kama mi napeta
I'm making my paper (Making my paper)
Sijachana mikeka mifuko imecheka
Sa mwendo wa mateka

Mikono juu (Eeh), mikono juu (Eeh)
Mikono juu (Eeh), mikono juu (Eeh)
Mikono juu (Eeh), mikono juu (Eeh)
Mikono juu (Eeh), mikono juu (Eeh)

Wanafosi tabasamu la kibosi
Kwenye sura za madeni
Kunichukia ni kuchemsha maji
Kovu la mpeni

Mi mambo ya basha, haya kenge mchicha nifuateni
Ghetto jipepee, Koffi Olomide hakuna feni

Nacheka na masnitch utasema siwajui jui
More money Gucci Prada Lui Lui
Hata anipe bure sinunui
V Vanny Boy Mr big name, chui chui

Mziki shule watoto walikimbia umande
Sasa unashindanisha pilau na makande
Nenda kawange ila bado utakaa upande
Naitwa Chui toka Wasafi kwenye ukoo wa Mzee Nyange

Maboya wanateta, kama mi napeta
I'm making my paper (Making my paper)
Sijachana mikeka mifuko imecheka
Sa mwendo wa mateka

Mikono juu (Eeh), mikono juu (Eeh)
Mikono juu (Eeh), mikono juu (Eeh)
Mikono juu (Eeh), mikono juu (Eeh)
Mikono juu (Eeh), mikono juu (Eeh)

Watch Video

About Juu

Album : Sound from Africa (Album)
Release Year : 2021
Copyright : © 2021 WCB Wasafi
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jan 31 , 2021

More lyrics from Sound from Africa album

More RAYVANNY Lyrics

RAYVANNY
RAYVANNY
RAYVANNY
RAYVANNY

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl