NyaNya Lyrics by NINO TZ


Ah baby nya nya nya
(Dapro on the)

Huh kama umekula raha baby, zima taa baby 
Mwenzio nina njaa nipoze na joto la Dar baby
Ukiskia shaa baby, ujue kashaa baby
Yuko ndichi so kifuatacho furaha baby

Inuka unishike kifua
Vuta unachoweza chukua
Kumbuka unavyobinua mgongo unasasambua
Bongo nawaza pure, mchongo ni mi kuwa na wewe milele
Udongo ukinichukua

Huh nimesahau shida mamacita
Mashini mpaka muda wa kupika
Usiku mpaka jogoo linawika
Mikunjo kwa wima ni patashika
Yaani pilika pilika 
Bilinge bayoyo asijewika

Sasa nipe yote yote sikukinai
Nikope hadi moyo sitokudai
Nimekuta embe kwenye mpapai
Na ni nyaku

Leta nikuangulie
My baby nya nya nya 
Leta nikuangulie
My baby nya nya nya 

Mwili mawazo vipo kwako darling 
Hata usiponirudisha shwari
Niwe mfungwa wako nimekubali
Wakija na dhamana usikubali

Nitatumikia penzi lako hunnie
Ila shifti mi siwezi
We ndo chombo yangu hunnie
Malift mi siwezi

Haipiti siku nisifikirie
Mi nisharogeka my love
U-- ni kwao lile
Kubali nakupenda my love 

Sasa nipe yote yote sikukinai
Nikope hadi moyo sitokudai
Nimekuta embe kwenye mpapai
Na ni nyaku

Leta nikuangulie
My baby nya nya nya 
Leta nikuangulie
My baby nya nya nya 

Watch Video

About NyaNya

Album : NyaNya (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Nov 13 , 2020

More NINO TZ Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl