Lala Lyrics by RAYVANNY


Lala la, lala lala 
Lala la, lala lala 
(It's S2kizzy Beiby)

Nawaza usingetokea ningeongea nini leo? (Aah)
Bila ya penzi lako ningeenjoy nini leo? (Aah)
Imekuwa bora alivyopotea ukatokea wewe leo
Tena bila huruma yako ningetamba wapi leo? (Aah)

Kwenye baridi
Nikukumbate upate joto
Twende kwa bibi
Atupe baraka tuzae watoto

Ngozi laini mtoto soap soap
Tumbo la kuvalia crop top
Vanessa wa nini? we don't talk talk
Sitaki shobo nisha block block (Iyee)

Lala la, lala lala 
Lala kifuani mmh
Lala la, lala lala 
Kichuna lala usinzie

Lala la, lala lala 
Nibembeleze nikuimbie
Lala la, lala lala 
La la la..la la la 

Nikimuita sukari ananiita asali
Lamba lamba pipi
Kuku mwenye kidari, shepu ngangari
La kuvunja kiti

Fundi fundi kamba
Za upendo wake kunibeba kwenda juu
Wakimponda saa
Hawajui ndo nazidi kumpenda tu

Usiku kwenye kimvua mvua, tukivua vua
Sema hata ajilaze kwenye kifua
Unanijua jua, nakujua jua
Masaji ya mafuta nikikuchua 

Ngozi laini mtoto soap soap
Tumbo la kuvalia crop top
Fahima wa nini? we don't talk talk
Sitaki shobo nisha block block 

Lala la, lala lala 
Lala kifuani mmh
Lala la, lala lala 
Kichuna lala usinzie

Lala la, lala lala 
Nibembeleze nikuimbie
Lala la, lala lala 
La la la..la la la 

Lala la, lala lala 
Lala kifuani mmh
Lala la, lala lala 
Kichuna lala usinzie

Lala la, lala lala 
Nibembeleze nikuimbie
Lala la, lala lala 
La la la..la la la 

(Wasafi)

Watch Video

About Lala

Album : Sound from Africa (Album)
Release Year : 2021
Copyright : © 2021 WCB Wasafi
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jan 31 , 2021

More lyrics from Sound from Africa album

More RAYVANNY Lyrics

RAYVANNY
RAYVANNY
RAYVANNY
RAYVANNY

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl