Segedance Lyrics by DARASSA


Ana ngoma zote samba vanga sidimba
Ukiingia anga zake rare timba

Hadithi hadithi utam kolea
Huwezi kusimulia mvua haijakunyeshea
Take care huu sio moto wa kuotea
Mimea juba mbovu litakubomokea

Usimchokoze mwache komando kalala
Akiamka biashara shaghala baghala
Mtu hasara wamezinga mabomu Mbaghala
Akitinga home anaacha msala

Kaamkia stand hata bila safari
Kashazima zake data hana habari
Kutwa za watu machata kujikubali
Mastaa plasta mtu wa ajali

Nitakuingiza chaka usimweke dhamana
Alikolala leo sio huko aliamka jana
Hana usiku hana mchana hana maana
Mtu lawama hana team hana chama

Unakuja kutaste taste weka anachomeka
Kama unabet bet anachana mkeka
Wameshikwa na baridi wanatetemeka
Wamepatwa na mawenge wanaweweseka

Huyu bwana hana mzaha anapiga honi
Tena kabeba silaha kali kibindoni
Sema suto na vumbi usoni
Tia mguu uende na maji mtoni

Anazijua njama, drama, utampenda
Anakuwa mnyama ukiinama
Ukiinuka amekwenda nawe eeh
Mzee wa segedance
Kukaba kuiba kashazoea, segedance
Wanamuita segedance
Dhuluma kupiga nyumbani, segedance

Siku nyingine kumekucha kwenye misele
Ye anawaza mbele maisha yatakuwa mtele
Stori zake chenga chenga nyingi kama Pelle
Kwa vitambo hajambo majigambo tele

Tunaishi naye kimatale mtaani
Ukasero kwake yeye ni kama maskani
Umri wake na matendo haviendani
Jua kali cheki mwendo shati begani

Akiingia party kaharibu kaishia
Sio mtu kweli bandia bandia
Mambo yake ni kudandia dandia
Mkate anashushia na bia

Kichwa imewaka ti na anapepesuka
Hana muda wa kuoga anapaka mafuta
Mueke vigingi chimba chimba na matuta
Hutomkuta maajabu ya Musa

Unakuja kutaste taste weka anachomeka
Kama unabet bet anachana mkeka
Wameshikwa na baridi wanatetemeka
Wamepatwa na mawenge wanaweweseka

Huyu bwana hana mzaha anapiga honi
Tena kabeba silaha kali kibindoni
Sema suto na vumbi usoni
Tia mguu uende na maji mtoni

Anazijua njama, drama, utampenda
Anakuwa mnyama ukiinama
Ukiinuka amekwenda nawe eeh
Mzee wa segedance
Kukaba kuiba kashazoea, segedance
Wanamuita segedance
Dhuluma kupiga nyumbani, segedance

Watch Video

About Segedance

Album : Slave Become a King (Album)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020 CMG
Added By : Huntyr Kelx
Published : Dec 24 , 2020

More lyrics from Slave Becomes A King album

More DARASSA Lyrics

DARASSA
DARASSA
DARASSA
Leo
DARASSA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl