DARASSA Nikiondoka cover image

Nikiondoka Lyrics

Nikiondoka Lyrics by DARASSA


Mwingine hata miujiza hashangai
Tumeumbwa tofauti that's the reason why
Mtu akivunja moyo huwezi kumdai
Na moyo unataka ubebe kama vile yai

Unanizingua unaniplease I don't mind
Nikaja kuona si we nishai
Hakuna nilichofanya kwako nikaweza
Hakuna nilichofaa kwako nikapendeza

Kuna wakati hisia zinakupoteza
Unakuwa mfungwa nje ya gereza
Love is blind I lost my mind
Mguu nje ndani you don't concern

Labda ningekuwa na moyo wa chuma
Wivu machungu yasingeuma
Kushindana na upepo unaovuma
Hata we usingeweza

Nikiondoka utanimiss nikiondoka
Nikiondoka labda utanimiss, nikiondoka
Nikiondoka utanimiss nikiondoka
Nikiondoka labda utanimiss, nikiondoka

Mapenzi yetu kwangu sio utani
Ukayafanya ngazi unipande kichwani
Marafiki wanasema sikujui ndani
They say hey think like a real man

Hii ni faida ya mapenzi kama haufurahii
Chumbani unawaza mtu hakufikirii
Unayempenda kukupenda sio guarantee
I should never go back for my mystery

Ni bora kujikaza kuvumilia
Kusema kunyamaza kucheka kulia
Mambo mengine deep sana I can't say
Record yetu staki hata kureplay

Labda ningekuwa na moyo wa chuma
Wivu machungu yasingeuma
Kushindana na upepo unaovuma
Hata we usingeweza

Nikiondoka utanimiss nikiondoka
Nikiondoka labda utanimiss, nikiondoka
Nikiondoka utanimiss nikiondoka
Nikiondoka labda utanimiss, nikiondoka

Watch Video

About Nikiondoka

Album : Slave Become a King (Album)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020 CMG
Added By : Huntyr Kelx
Published : Dec 24 , 2020

More lyrics from Slave Becomes A King album

More DARASSA Lyrics

DARASSA
DARASSA
DARASSA
Leo
DARASSA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl