Mziki Lyrics by DOGO JANJA


Mama kaniambia nikupende wewe we we
Na nisipokupenda mi nilaaniwe we we
Oh mama kaniambia nikuchunge wewe we
Nami nikikuchunga unichunge na wewe we

Na nikiwa safari nakuskiza wewe
Nikiwa na mawazo stress kila wewe

Ona wanakupenda watoto 
Tena wanakupenda vijana
Ona wanakupenda kina baba ba
Tena wanakupenda kina dada da

Ukitaka lala niko hapa 
Nitakubembeleza, mziki wee 
Ukiwa na shida niko hapa
Nitakuliwaza wee, mziki wee

Ukitaka lala niko hapa 
Nitakubembeleza, mziki wee 
Ukiwa na shida niko hapa
Nitakuliwaza wee, mziki wee

Hata nikiboeka unanipaga vybe na mizuka
Nachotaka umenipa umeniweka juu umenikweza
Nilitaka kwenda Mungu baba yo pote ukanipa
Umenitoa mbali, ona sasa hivi leo naheshimika

Unipoze, uniliwaze 
Mziki wee oh baby wee
Nisipotee popote mi nawe
Kwa ladha tamu unazonipa

Nawaza dunia ingekuwaje bila wewe
Na matafaiya yasingeungana 
Nahisi bila wewe

Ona wanakupenda watoto 
Tena wanakupenda vijana
Ona wanakupenda kina baba ba
Tena wanakupenda kina dada da

Ukitaka lala niko hapa 
Nitakubembeleza, mziki wee 
Ukiwa na shida niko hapa
Nitakuliwaza wee, mziki wee

Ukitaka lala niko hapa 
Nitakubembeleza, mziki wee 
Ukiwa na shida niko hapa
Nitakuliwaza wee, mziki wee

Ooh oh mziki wee...

Popote ulipo we jua nakupenda
Ukiniacha mwenzako sina pa kwenda
Popote ulipo we jua nakupenda
Ukiniacha mwenzako sina pa kwenda

Popote ulipo we jua nakupenda
Ukiniacha mwenzako sina pa kwenda
Popote ulipo we jua nakupenda
Ukiniacha mwenzako sina pa kwenda

Watch Video

About Mziki

Album : Asante Mama (Album)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021 MMB (Manzese Music Baby)
Added By : Huntyr Kelx
Published : May 29 , 2021

More lyrics from Asante Mama album

More DOGO JANJA Lyrics

DOGO JANJA
DOGO JANJA
DOGO JANJA
DOGO JANJA

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl