Naoa Lyrics by BROWN MAUZO


Nimelewa chakari, mwenzenu kwake sijiwezi
Kung'oka ndo ngumu, moyo ushamea mizizi
Nishaweka na nia, mwenzenu na mwaka nioe
Nishachanga na vihela, mahari kwao nikatoe

Na nitake kwake nini nikose aah
Nala raha kwa bustani mmh
Kichwa nishalaza kifuani
Na alivyo laini ka maini, mmh

Naoa naoa, mwenzenu naoa
Naoa naoa, nimepata jiko
Naoa naoa, ooh nishakata kauli
Naoa naoa, eeh bye bye ubachelor

Kwake sibanduki, siondoki
Nimezama kina
Matusi si mkuki, si bunduki
Mnajisumbua

Nalala naye, naamka naye
Na Maulana kanipa ye, yeye eh eh eh
Nampenda ye, ananipenda ye
Ni radhi nizikwe na yeye, eh eh eh

Na nitake kwake nini nikose aah
Nala raha kwa bustani mmh
Kichwa nishalaza kifuani
Na alivyo laini ka maini, mmh

Naoa naoa, mwenzenu naoa
Naoa naoa, nimepata jiko
Naoa naoa, ooh nishakata kauli
Naoa naoa, eeh bye bye ubachelor

Kwa maneno yasoisha, tuache
Eeh mmh, watuache
Vijembe vya ma ex, tuache
Mmmh, watuache

Mara pete ni ya kiki, tuache
Mmh ooh, watuache
Eti hatuendani, watuache
Eeh aah, watuache

V baby

Watch Video

About Naoa

Album : V the Album (Album)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Oct 22 , 2021

More lyrics from V the Album album

More BROWN MAUZO Lyrics

BROWN MAUZO
BROWN MAUZO
BROWN MAUZO
BROWN MAUZO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl