Mimi Lyrics by ETHIC


Nimemix keg na jaba ya waba
Mos mos leo ni wikendi nimejitepa
Whitey sundi ndunge kituri
Umemwaga mate yaani mawetete
Leo ni sherehe basi rombosa rombosa
Tingisha kiuno ka umebeba we dondosa
Ka kuna makali kusikose pia matoto
Napenda hio tattoo amechora kwa matako

Oya oya ju mi nina pesa
Na nishakupenda ukinipa mapaja napona
Baby ju mi nina pesa
Na nishakupenda ukinipa mapaja napona
Cheki baby napenda hio denda
Na siwezi kulenga, ukinipa nafasi nakuoa
Baby napenda hio denda
Na siwezi kulenga, ukinipa nafasi nakuoa

Zikishuka tupandishe na barley
Leo niko maganji lazima tutaparty
Hatuendi bukla leo tuko kwa party
Ka unadai form ushuke na key ya gari
Usikam na mama ju bana tuko waba
Usikam na jaba ushukishe za waba
Kuja tu na flash na ile nyongi ya jana

Oya oya ju mi nina pesa
Na nishakupenda ukinipa mapaja napona
Baby ju mi nina pesa
Na nishakupenda ukinipa mapaja napona
Cheki baby napenda hio denda
Na siwezi kulenga, ukinipa nafasi nakuoa
Baby napenda hio denda
Na siwezi kulenga, ukinipa nafasi nakuoa

99% hamwezi ride blacky 
Karate kunfu
Nashuku unapenda minji ju head umeshuka pies
------
------

Oya oya ju mi nina pesa
Na nishakupenda ukinipa mapaja napona
Baby ju mi nina pesa
Na nishakupenda ukinipa mapaja napona
Cheki baby napenda hio denda
Na siwezi kulenga, ukinipa nafasi nakuoa
Baby napenda hio denda
Na siwezi kulenga, ukinipa nafasi nakuoa

Watch Video

About Mimi

Album : Mimi (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Dec 03 , 2021

More ETHIC Lyrics

ETHIC
ETHIC
ETHIC
ETHIC

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl