ETHIC Fanya cover image

Fanya Lyrics

Fanya Lyrics by ETHIC


Cheki baby uko juu sana
Admission ni ka newcomer
Na ka jo ni kupenda mara few sana
Come uone venye mi hufanya
Come uone venye mi hufanya
Come uone venye mi hufanya
Na ka jo ni kupenda mara few sana
Come uone venye mi hufanya

Ye ni newcomer mode amemweka deski
Ni siku ya kwanza na ashakuwa bestie
Niko jo kwa lesson na ananiguza deki
Wiki haijaisha ako kwangu amebleki

Tukuwa close kama putha na ukuta
Nnje kuna njeve we unacheza na mafuta
Naeza kuwa kidale na kesho upate shuksha
Hivo kila siku huwezi kuwa same

Mi hukaa nina kichaa after kuona figa
Kwanza hapo ndani ya buibui
Afande ka ni diva na amebeba silaha
Mi haki ya nani hainistui

Siezi hadi jo deny
Nakuja ka unanidai
Shida ni nyumba siijui
Rapper na anajidai 
Rapper nakuibia rhyme 
Mbona ju mi ni mrui

Cheki baby uko juu sana
Admission tu ka ya newcomer
Na ka jo ni kupenda mara few sana
Come uone venye mi hufanya
Come uone venye mi hufanya
Come uone venye mi hufanya
Na ka jo ni kupenda mara few sana
Come uone venye mi hufanya

Nakupenda penda sana tena times 2
Hio figa ndani ya buibui ina ni whoo
Ata ukibebanga grenade bado inani ni who
Umeumbwa ukaumbika design ya kidungi

Bila pesa niko insecure
Baby hadi mtu wa mtura namshukungu daily
No wonder utanipata pata nakopa daily
Ndo nikubambe, baby ndo nikubambe
Baby ndo nikubambe

Cheki baby uko juu sana
Admission tu ka ya newcomer
Na ka jo ni kupenda mara few sana
Come uone venye mi hufanya
Come uone venye mi hufanya
Come uone venye mi hufanya
Na ka jo ni kupenda mara few sana
Come uone venye mi hufanya

Sina sheng ya msichana
Una udranya gani inabamba
Yangu ni ndranya
Leta utoto nijigeuze fafa
Nikubuyie pamper na nilete

Jua kijana anaweza kuwa msichana
Usiite wavulana pekee mavijana
Nakia birthcert unawekewa na matha
Na unajidai gangster

Watch Video

About Fanya

Album : Fanya (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Sep 21 , 2021

More ETHIC Lyrics

ETHIC
ETHIC
ETHIC
ETHIC

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl