Salama Lyrics by RADICAL


Salama, salama
Salama na wewe
Salama, salama

Salama, salama
Salama na wewe
Salama, salama

Umeondoa aibu, aibu
Ukaondoa dharau masaibu, masaibu
Na sina tena wa kumwambia
Kile roho inapitia baba
Nitakuishia forever
For you Lord

Ooh si makachiri kachiri, oh saga
Nikihubiri hubiri, Hosana
Na mienendo badili badili, ooh baba
Uwe nyumbani kazini, salama

Salama, salama
Salama na wewe
Salama, salama

Salama, salama
Salama na wewe
Salama, salama

Kuna time mi nakosa
Lakini hujawahi comoplain 
Hujawahi nitoka
Hujawahi ninunia

Kama kuna kitu iko ndani ya pain
Ifanye neno yako iende chain chain
Ndani yako hakuna compe
We baba unanitosha

Sioni nikienda kando na
Hata kama iwe mambo na
Mwanadamu atangoja, haiya
Atangoja sana 

Ooh si makachiri kachiri, oh saga
Nikihubiri hubiri, Hosana
Na mienendo badili badili, ooh baba
Uwe nyumbani kazini, salama

Salama, salama
Salama na wewe
Salama, salama

Salama, salama
Salama na wewe
Salama, salama

Salama, salama
Salama na wewe
Salama, salama

Salama, salama
Salama na wewe
Salama, salama

Niko salama
Niko salama

Watch Video

About Salama

Album : Salama (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Dec 02 , 2020

More RADICAL Lyrics

RADICAL

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl