...

Chinje Lyrics by Toxic Lyrikali


Stoner hakosi na ako juu ya dimanga

Shika morio kuna vile tutakatsiana

Ni headbad nilimkataa akanipoint na panga

Nikona yangu naona tukikatiana

Staki ngori mob staki hoe staki ka si raw

Sikuji ka si doh ka si ndom inafanya na float

Staki ngori mob staki hoe staki ka si raw

Sikuji ka si doh ka si ndom inafanya na float

Sikua na thiang' nikaingia chinje

Packe nikiwa mabob iezi kafanya ni change

Wanted never me najua kuishi na wasee

Sanse nampace utadhani ni Senke

Denge Chinja chinja maliza ulele

Sembe finya finya ndio ni squeeze mwere

Tenje screen clear lazima itoshe

Mwere siezi achana na ye aende

Niko sober naskiaa lakini si poa

Ntaskia poa nikianza kukohoa

Inakubalika wakituona wanajiondoa

Tu doom cheki nguo ungekua ushaanza kutoa

Si ni mabuda kwa biz ka barber tunawanyoa

Luku diriba tisho ya madoa doa

Ni mpoa akinikiss ndio naopoa

Ka nimejam chali yake alinithigitha meno ndio namngoa

Rive imepasuka cheki na overflow

Ka ni videvu narusha ka Tyso

Mali ni chwani lakini kata hii soo

Si ndio wale tulichora makwela kwa blackboard

Siezi medi baze na kuna morio acidi

We ni fala umejipimp bado we ni pimbi

Nikona mbling tatu moja ndio ikona risiti

Cheki chuom ingia chuom karibu ofisi

Stoner hakosi na ako juu ya dimanga

Shika morio kuna vile tutakatsiana

Ni headbad nilimkataa akanipoint na panga

Nikona yangu naona tukikatiana

Staki ngori mob staki hoe staki ka si raw

Sikuji ka si doh ka si ndom inafanya na float

Staki ngori mob staki hoe staki ka si raw

Sikuji ka si doh ka si ndom inafanya na float

Short call serious biz long call hua ni mafi

Pita mandazi mandazi upate chai

No smile na medi na mtiaji sometimes

Siezi fry na bado sija kufry my guy step mos mos

Mos mos boss unaeza kosa koo

Unaeza kosa kuona kesho

Niki F kinachoke bila filtration

Kesho ile thiang' inaingia soko

Na imerust akuna kushonwa ni tetanus

Bei ni mwero lakini asset ni second hand

Mabunde tumejibebea mapepeta

Staki ngori mob siezi force mambo ka zi run

Stoner hakosi na ako juu ya dimanga

Shika morio kuna vile tutakatsiana

Ni headbad nilimkataa akanipoint na panga

Nikona yangu naona tukikatiana

Staki ngori mob staki hoe staki ka si raw

Sikuji ka si doh ka si ndom inafanya na float

Staki ngori mob staki hoe staki ka si raw

Sikuji ka si doh ka si ndom inafanya na float

Stoner hakosi na ako juu ya dimanga

Shika morio kuna vile tutakatsiana

Ni headbad nilimkataa akanipoint na panga

Tazamaji cheki tunakatiana

Staki ngori mob staki hoe staki ka si raw

Sikuji ka si doh ka si ndom inafanya na float

Staki ngori mob staki hoe staki ka si raw

Sikuji ka si doh ka si ndom inafanya na float

Watch Video

About Chinje

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright :
Added By : Farida
Published : May 22 , 2025

More Toxic Lyrikali Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl