
Long Story Lyrics
...
Long Story Lyrics by Toxic Lyrikali
Makelele kwani nani anabisha
Kuenda kucheck landi na vifuli sita
Ananishow keja anadai kutinga
Ni grab kenye nataka ni safishe nikimaliza
Si tulielewana Monday
Apana akili nimebadilisha
We safisha beshte yangu anadai kuingia
Nikaenda kwa jirani yangu ye upenda beer
Akaniserve tiabe although pia ye ako chupri
After dakika nane nikaenda kutafuta shugli
Kupatana na beshte akanishow twende hivi
Tukiwa njiani morio naona mbogi
Naskia hu boy ndio alinitoka tenje
Na ju wako mbogi ni trr toka teke
Rudia kikosi tutrace hao masenje
Walinigeuzia so tuliwatoka matenje
Tusha wamocho nimepunguza mawazo
Sina doh ya ngondo sa nikuuma vako
Ndio nimalize stress nikaingia studio
Nikapatana na Chloe na Vk kwa studio
Stevo akarecord doba inaenda walai ananidai
Ilitubamba tukaenda home five
Kufika area tena ni stress walai
Sina doh so kenye akili inagonga ni crime
Natafuta kwa kulala na beshte yangu headbad
Beshte yangu headbad
Before niende kudoz tuingie mission moja wagwan
Tukatrace mheshi flani ukua paper
Mansion bwaku joh unaeza potea
Ndio anatoka wera so nikumtegea
Gate wakifungua pole pole ingia
Ju kuna giza hawakutuskia
Akaona njia iko wapi kwa Drisha
Hao sisi ingia nikuhepa familia
Si tunataka tu ile safe wausundanga ma mia
Wale maboy tulitrace walitufuata
Ju tuko on si maboy waliogopa
So ikabidi waende wakataje backup
Usidhani ni mbogi imagine ni mambanga
Walisnitch tukiwa scene na ni sin
Tena ni trr toka teke
Mansion ni bigi tafuta exit yoyote
Tension imejaa ju ya siren uko nje
Roho ya kwangu inadunda du du
Masanse pia wako nyuma watuachi si udu
Kidogo tena gunshot one two
Kugeuka naona beshte yangu amelazwa kwa pool
Ya Dibla
Tena stress zimenishika
Biz imechomeka na saka kwa kujificha
Wakanikosa ikabaki wameingia
Kujisundua rada naangalia
Nikatoa mask nikaichomea kwa njia
Na hio riba mi nikanyamazia
Ju mi ni ndume so hakuna kulia
Inabidi kilio ndani joh nimekazia
Nikakumbuka na nikafikiria
Nikaenda kudoz kwa beshte yangu joh wa kanisa
After that tabia nikabadilisha sa mboka ya doba ndio nadai kuingia
Ni long story na ni ngori skiza story
Ni long story na ni ngori bro skiza story
Ni long story na ni ngori skiza story
Ni long story na ni ngori
Watch Video
About Long Story
More Toxic Lyrikali Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl