Amini Lyrics by GUARDIAN ANGEL


Una miaka kibao unakazana
Ingawa hali ni ngumu
Unapambana pambana
Wenzako wa rika lako lako
Walishapata maana
Ukikutana nao wanakushangaa sana
Hali ya maisha yako
Inafanya unasononeka sana
Mke na watoto wako
Wameondoka una urweke bana
Hali ya maisha yako
Inafanya unasononeka sana
Mke na watoto wako
Wameondoka una urweke bana
Eh eh eh
Eh eh eh

Muamini
Ingawa hali ni ngumu sana, amini
Ipo siku yako yako, amini
Ingawa mbele unaona gizawe, amini
Ipo siku yako yaja

Ipo siku yako yaja leo
Amma kesho ama badae
Cha kufanaya ni
Kutia bidi na kuamini
Ipo siku yako yaja leo
Amma kesho ama badae
Cha kufanaya ni
Ku celebrate wenzako
Shangilia mwenzako
Anapofanikiwa
Furahia mwenzako
Anapobarikiwa
Nawe kwa siku yako
Tutashangilia
Nawe kwa siku yako
Tutakufurahia

Muamini
Ingawa hali ni ngumu sana, amini
Ipo siku yako yako, amini
Ingawa mbele unaona gizawe, amini
Ipo siku yako yaja

Watch Video

About Amini

Album : Amini (Single)
Release Year : 2020
Added By : Farida
Published : Aug 10 , 2020

More GUARDIAN ANGEL Lyrics

GUARDIAN ANGEL
GUARDIAN ANGEL
GUARDIAN ANGEL
GUARDIAN ANGEL

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl