Kijito Lyrics by GUARDIAN ANGEL


Kijito cha utakaso ni damu ya Yesu
Bwana ana u-uwezo kunipa wokovu
Kijito cha utakaso ni damu ya Yesu
Bwana ana u-uwezo kunipa wokovu

Kijito cha utakaso 
Nizame kuoshwa umbo
Na msifu bwana 
Kwa hiyo nimepata utakaso

Kijito cha utakaso 
Nizame kuoshwa umbo
Na msifu bwana 
Kwa hiyo nimepata utakaso

Viumbe vina
Naona damu ina nguvu
Imeharibu uovu
Uliyotudhuru

Kijito cha utakaso 
Nizame kuoshwa umbo
Na msifu bwana 
Kwa hiyo nimepata utakaso

Kijito cha utakaso 
Nizame kuoshwa umbo
Na msifu bwana 
Kwa hiyo nimepata utakaso

Nipe wema ya ajabu
Kubwa kwa wanadamu
Na Bwana Yesu
Kumjua Yesu wa msalaba

Kijito cha utakaso 
Nizame kuoshwa umbo
Na msifu bwana 
Kwa hiyo nimepata utakaso

Kijito cha utakaso 
Nizame kuoshwa umbo
Na msifu bwana 
Kwa hiyo nimepata utakaso

Kijito cha utakaso 
Nizame kuoshwa umbo
Na msifu bwana 
Kwa hiyo nimepata utakaso

Kijito cha utakaso 
Nizame kuoshwa umbo
Na msifu bwana 
Kwa hiyo nimepata utakaso

Watch Video

About Kijito

Album : Kijito (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020 7 Heaven Music.
Added By : Huntyr Kelx
Published : Sep 06 , 2020

More GUARDIAN ANGEL Lyrics

GUARDIAN ANGEL
GUARDIAN ANGEL
GUARDIAN ANGEL
GUARDIAN ANGEL

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl