Unaua Vibe Remix Lyrics by RAPCHA


Gachi beats

Nikapatana na mchizi
Akanishow vile ameomoka
Nikamshow basi alipe bill tukiondoka
Kwanza sikuamini ile mtaa anapotoka
Saa za mechi mi nacheki jo boxer imetoboka

Haina issue nikaona wacha nimpe vitu
Nikavua mini ndo acheki ka see through
Leo kiuno nitampea na mchezo wa kati
Lakini nashindwa wapi mti kwenye huu msitu?

Ikiwa hawezi amsha nikaona wacha tulale
Labda mida yake masaa yatadunga mshale
Masaa yake mi naskia naguzwa --
Kumbe Dah sio mchizi ni bonge la kunguni

I say unaua vibe unaua 
Unaua vibe unanikata steam
Unaua vibe unaua 
Unaua vibe unanikata steam

Unaua vibe unaua 
Unaua vibe unanikata steam
Unaua vibe unaua 
Unaua vibe unanikata steam

Kaniona fresh akaja rest
Nikupe company mi nikasema yes
Kaniomba hug tu mi nikaona sio kesi
Harufu ya kwapa dada mbona sio fresh?

Ukinigee chuna usiniletee noma
Tunachat utamu unascreenshot, we koma
Najipenda kinoma usiniletee homa
Yaani tumepuna macorona uniletee ngoma

Mademu wa mjini kavu muulize brother babu
Tumia kinga ukishaona kachora ink ya tattoo
Ukidata fasta na make up itakucosti
Akinawa uso inabaki sura ya passpoti

I say unaua vibe unaua 
Unaua vibe unanikata steam
Unaua vibe unaua 
Unaua vibe unanikata steam

Unaua vibe unaua 
Unaua vibe unanikata steam
Unaua vibe unaua 
Unaua vibe unanikata steam

Nishapata dem juzi namarinate kejani
Kaniguarantee doshi inadoz ndani
Pilka pilka ya kuteremsha toja
Boy wangu kwa mlango anagonga

Anyways ni Friday nimelipa
Na kuna dem flani nimealika
Uchi hata CD nimevaa
Niko ready kucum anadai --

Juzi tu si nimepiga kura
Washaingia ofisini ni pesa ninakula
Washauza nchi sasa watakinda nini
Ni sisi yaani nyinyi, wajinga nyinyi

Unaua, unanikata steam
Unaua, unanikata steam
Unaua, unanikata steam
Unaua, unanikata steam

Ameyatinga kinoma
Mwache acheze ajimwage
Tinga kinoma
Dj tena idondoshe

 

Watch Video

About Unaua Vibe Remix

Album : Unaua Vibe Remix (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Mar 17 , 2021

More lyrics from Wanangu 99 album

More RAPCHA Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl