RAPCHA Mungu na Masela cover image

Mungu na Masela Lyrics

Mungu na Masela Lyrics by RAPCHA


Maskani tukipita wakaniona
Roho zao zinawachoma
Hawataki Nidake Salio 'Namba'
Wame-tight kila kona

Masela eeh
Chap chap usikae tu kibwege
Ki-stone ku-siz na mbege
Bongo ka Kuna ubwege

Kinachotutesa ni umaskini chuki na nyege
Text moko DM kisha akanivutia waya
Nkaibuka Dar na mziki wanauskia now
Fame ndo imefanya saa hii mi nakoa
Pisi Kali ka mtoto wa Khadija Kopa now

And she be like baby
Kama utakua ready
Tuweke wazi mahusiano yetu kila page
Rick Media, Millard Ayo watuweke main page
It's Official en we on to the Next page

Oyaaaeeeeehh eeh yah yah
Mungu na masela
Mungu na masela, oh yaah yaah
Mungu Na Masela
Mungu Na Masela, oh yaah yaah
Mungu Na Masela
Mungu Na Masela

Maskani tukipita wakaniona
Roho zao zinawachoma
Hawataki Nidake Salio “Namba”
Wame-tight kila kona

Washkaji Mnataka nini? Cash Tu!!
Maskani Tunakula nini? Vitu!!!
Bongo hatutoboi kisa nini? Gubu!!
Na Wachumba wanataka nini? Rungu!!

Nshashtuka Wanahate na na Wana-paste
Ila huwezi futa pale Jah anapo-bless
Mto nauvuka Mamba namcheki Sikwepeshi
Mbele Kuna Tuta Acha nikazie seat belt

Waki-mind tutafutane tu fresh
Wanajua pakunipata Sio kesi
Machizi wa kweli tunajuana tu fresh
New friends I'm sorry

Oyaaaeeeeehh eeh yah yah
Mungu na masela
Mungu na masela, oh yaah yaah
Mungu Na Masela
Mungu Na Masela, oh yaah yaah
Mungu Na Masela
Mungu Na Masela

Maskani tukipita wakaniona
Roho zao zinawachoma
Hawataki Nidake Salio 'Namba'
Wame-tight kila kona

Watch Video

About Mungu na Masela

Album : Wanangu 99 (Album)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021 Bongo Records
Added By : Huntyr Kelx
Published : Oct 15 , 2021

More lyrics from Wanangu 99 album

More RAPCHA Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl