Jam Lyrics by NAIBOI


Tutajam na hii jam
Mtajam na hii jam
Tutajam na hii jam

Si mtajam na hii jam, Tutajam na hii jam
Si mtajam na hii jam, Tutajam na hii jam
Si mtajam na hii jam, Tutajam na hii jam
Mtajam na hii jam, haja gani ajam?

Si mtajam na hii jam, Tutajam na hii jam
Si mtajam na hii jam, Tutajam na hii jam
Si mtajam na hii jam, Tutajam na hii jam
Mtajam na hii jam, ata ka ni ya bar

Tupige kasherehe pande gani?
Hapa kila mtu amebamba wake
Kwani rada gani? Nadai rada safi
Otero mambo mbaya mi ndio baba yake

Kwani rada gani nadai rada safi
Otero mambo mbaya mi ndio baba yake
Aiya Cate naye vile kamesimama
Macho macho usijitege kamba

You only live once kama mbaya mbaya
Jipange we mwenyewe usipitie choir
Sikia wamejam siku hizi nimechange diet
Wamejam vile bei pia mbaya
Wamejam ju siku hizi wakinicall
Ni mteja wa nambari....

Si mtajam na hii jam, Tutajam na hii jam
Si mtajam na hii jam, Tutajam na hii jam
Si mtajam na hii jam, Tutajam na hii jam
Mtajam na hii jam, haja gani ajam?

Si mtajam na hii jam, Tutajam na hii jam
Si mtajam na hii jam, Tutajam na hii jam
Si mtajam na hii jam, Tutajam na hii jam
Mtajam na hii jam, ata ka ni ya bar

Ati wameshika nare, nare eh
Nare nare eh
Wameshika nare, nare eh
Nare nare eh

Ati wameshika nare, nare eh
Nare nare eh
Wameshika nare, nare eh
Nare nare eh

Niliweka nywele yangu dye wakajam
Nikasema Femi bado Uno wakajam
Sai fine gyal pengting si wanakam
Sikia umejam juu kalenda imejaa

Jah Jah bless me
Ameniweka fiti mbele ya enemies
Acheni utoto Femi bado plan literally
Things weekendi mi ni daily
Kustand or cheki mi sispendi

Naskia wamejam siku hizi nimechange diet
Wamejam vile bei pia mbaya
Wamejam ju siku hizi wakinicall
Ni mteja wa nambari....

Si mtajam na hii jam, Tutajam na hii jam
Si mtajam na hii jam, Tutajam na hii jam
Si mtajam na hii jam, Tutajam na hii jam
Mtajam na hii jam, haja gani ajam?

Si mtajam na hii jam, Tutajam na hii jam
Si mtajam na hii jam, Tutajam na hii jam
Si mtajam na hii jam, Tutajam na hii jam
Mtajam na hii jam, ata ka ni ya bar

Ati wameshika nare, nare eh
Nare nare eh
Wameshika nare, nare eh
Nare nare eh

Ati wameshika nare, nare eh
Nare nare eh
Wameshika nare, nare eh
Nare nare eh

 

Watch Video

About Jam

Album : Otero (EP)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021 Naiboi Worldwide
Added By : Huntyr Kelx
Published : Nov 01 , 2021

More lyrics from Otero (EP) album

More NAIBOI Lyrics

NAIBOI
NAIBOI
NAIBOI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl