Bwana Nifungulie Lyrics
...
Bwana Nifungulie Lyrics by Stanley Thiaine
Nime teseka sana
Lakini Mungu wangu hukuniasha nife
Kwa hivyo sita kufa
Mbali nitaishi mimi
Niyasimulie Mungu
Matendo yako Baba
Matendo yako Baba
Bwana Nifungulie
Malango ya haki ningie
Bwana Nifungulie
Malango ya haki ningie
Bwana Nifungulie
Malango ya haki ningie
Bwana Nifungulie
Malango ya haki ningie
Baba na mama yangu
Wameniasha mimi
Lakini Eewe Bwana
Utanikaribisha Kwako
Kwako Mungu wangu
Nalitupwa mimi kutoka utotoni,
Mungu wangu uuu
Bwana Nifungulie
Malango ya haki ningie
Bwana Nifungulie
Malango ya haki ningie
Bwana Nifungulie
Malango ya haki ningie
Bwana Nifungulie
Malango ya haki ningie
Umeniokoa Baba
Nashinda ya kule mjini
Umeniokoa Baba na taabu ya kule nyikani
Umeniokoa Baba na dhiki ya baharini
Kwa hivyo Mungu wangu haukuniasha nife
Kwa hivyo sitakufa
Mbani nitaishi mimi niyasimulie Mungu
Matendo yakooo
Niyasimulie Mungu matendo yakooo
Bwana Nifungulie
Malango ya haki ningie
Bwana Nifungulie
Malango ya haki ningie
Bwana Nifungulie
Malango ya haki ningie
Bwana Nifungulie
Malango ya haki ningie
Watch Video
About Bwana Nifungulie
More Stanley Thiaine Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl