...

Bwana Nifungulie Lyrics by Stanley Thiaine


Nime teseka sana

Lakini Mungu wangu hukuniasha nife

Kwa hivyo sita kufa

Mbali nitaishi mimi

Niyasimulie Mungu

Matendo yako Baba

Matendo yako Baba

Bwana Nifungulie

Malango ya haki ningie

Bwana Nifungulie

Malango ya haki ningie

Bwana Nifungulie

Malango ya haki ningie

Bwana Nifungulie

Malango ya haki ningie

Baba na mama yangu

Wameniasha mimi

Lakini Eewe Bwana

Utanikaribisha Kwako

Kwako Mungu wangu

Nalitupwa mimi kutoka utotoni,

Mungu wangu uuu

Bwana Nifungulie

Malango ya haki ningie

Bwana Nifungulie

Malango ya haki ningie

Bwana Nifungulie

Malango ya haki ningie

Bwana Nifungulie

Malango ya haki ningie

Umeniokoa Baba

Nashinda ya kule mjini

Umeniokoa Baba na taabu ya kule nyikani

Umeniokoa Baba na dhiki ya baharini

Kwa hivyo Mungu wangu haukuniasha nife

Kwa hivyo sitakufa

Mbani nitaishi mimi niyasimulie Mungu

Matendo yakooo

Niyasimulie Mungu matendo yakooo

Bwana Nifungulie

Malango ya haki ningie

Bwana Nifungulie

Malango ya haki ningie

Bwana Nifungulie

Malango ya haki ningie

Bwana Nifungulie

Malango ya haki ningie

Watch Video

About Bwana Nifungulie

Album : (Single)
Release Year : 2024
Copyright :
Added By : Stanley Thiaine
Published : Sep 05 , 2024

More Stanley Thiaine Lyrics

Stanley Thiaine

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl