DELO Chupa Ku Chupa cover image

Chupa Ku Chupa Lyrics

Chupa Ku Chupa Lyrics by DELO


Only one Delo, Hallo
Only one Delo, Hallo
Delo, Delo
Mbaya mbaya

Tupa ku chupa, tupa kutupa
Mi nasaka ganji, kisha lipuka
Punguza hiyo pupa, tupa kwa pipa
Mimi nina kipaji, najua mnabambikaa

Kama Nelly the Goon, nipate umepika
Kama wewe ni my goon, nipate umeitisha
Sura za ma-baboon manze zinatisha
Na kama huwezi moan, itabidi unapisha

Ikus inatupa, siwezi fika bei
Heri nishike mafuta, nijipige daily
Nikisaka shimo ya kunitolea mabeiby
Maziwa iwe fiti, kutoka kwa hizo jegi

Mi ni mahuru, bila Caterpiller beiby
Unacheza na hiyo mbulu, unacheza videadly
Ati ukiamini Mungu, bado utadedi
Hii ndio ufala ilifanya sigeuzagi peddy

Tupa ku chupa, tupa kutupa
Piga hiyo shash hadi zinalipuka
Ita morio sash, tucheze nae kaboka
Piga morio dash, piga morio ya litre

Sema team Usiku Sacco, jua inatisha
Ukiwa na wa kando, hutaki kapicha
Ukiwa yule wako, manze unachachishaa

Tupa ku chupa, tupa kutupa
Mi nasaka ganji, kisha lipuka
Punguza hiyo pupa, tupa kwa pipa
Mimi nina kipaji, najua mnabambikaa

Uko ndethe na hiyo jua manze ni noma 
Nataka nikushike, nikushike kama homa
Fullstop, non-stop bila ata coma
Kama ni noma, iite basi noma ngoma

Kama ni ngoma noma iite basi noma 
Only one Delo, wakicheki wanakonda
Only big things alishika anaconda
Mi nawasha koro na mabang'a mi nabonda(rrrah)

Mi nacheza solo, nina writer na donda
Wabebwe, wabebwe kama nimesonga
Kama kama aaah, kama nimesonga

Usidunge black, ju black joto
Wanapiga nduru nimeshinda lotto
Wanaskia wivu nimeshika toto
Na akienda chini usikose mboto

Tupa ku chupa, tupa kutupa
Mi nasaka ganji, kisha lipuka
Punguza hiyo pupa, tupa kwa pipa
Mimi nina kipaji, najua mnabambikaa

Tenje imejaa...

----
[Kartelo]
Oya oya oya oya 
Eeeh mi unaeza niita Kartelo
Ama unaeza niita kwako 
Mbogi ni Kimonyoski
Hitilafu Sacco in addi area representing
Na ukiona nikijidai, ujue nimejikopa oya
Eeeh ukiniona in addi area 
Ujue kuna wasee watalala mteja leo
Sindio, eeh kabisa!
----

Tenje imejaa namba za mapeddy
Kifua imejaa moshi ya mafeggy
Na uambie Mejja nimesema mdeadly
Sema mwambie amejaa anifike bei

Natesa, natesa huku njei
Na pesa, na pesa mi sipewi
Mseme tujinyc, tujinyc tujinyc tu
Tujinice, tujinice tu
Ati Tujinice, tujinice tu
Tujinice, tujinice tujinice tu

Tupa ku chupa, tupa kutupa
Mi nasaka ganji, kisha lipuka
Punguza hiyo pupa, tupa kwa pipa
Mimi nina kipaji, najua mnabambikaa

Tupa ku chupa, tupa kutupa
Mi nasaka ganji, kisha lipuka
Punguza hiyo pupa, tupa kwa pipa
Mimi nina kipaji, najua mnabambikaa

King of Genge
Only one Delo Hallo Hallo

Ata usipojam kwa hii ngoma bado utadedi Hallo!

Watch Video

About Chupa Ku Chupa

Album : Chupa Ku Chupa (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jul 06 , 2019

More DELO Lyrics

DELO
DELO
DELO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl