DELO Sondeka Freestyle cover image

Sondeka Freestyle Lyrics

Sondeka Freestyle Lyrics by DELO


First thing first Epuka kisha Sondeka 
Kama siko stage wako stage niko mboka
Kama siko mboka niko stage wanachoka 
Cheki juu chini manze watu wameoga 

Standing middle finger kwa watu wana ushoga 
Hiwezi keti hadi siku utaanza kujibonga
Future ina figa mbele sitaki kusota 
Nina jenga lami ndio nisiumwe na manyoka 

Huwezi nipata shambani mdomo jo mogoka 
Kaschana funga soko heri jo ufungue duka 
Mistari kutoka shule sasa wanadai kukopa 
Theonlydelo Gold hao wengine labda copper

Hawa watu ni wezi na haweniwezi 
Ha, Hawa ni wezi na hawatuwezi
Kama game ni chafu nimepiga tizi miezi
Sondeka na ma hanjam kula fiti umepata chizi. 
Sondeka Yo! 

Sitambui umama natambua my mama
Kijana si wa juzi kijana jo si wa jana
Ukileta ka panganga unakutwa na madaga 
Unacheza tu na pongi unapata ni ya ka mama

Kula bata bana uone jogo akianza umama 
Ma fala wa kupandana Epuka jo laana 
King ndio kufika naogopwa hadi na waganga
Leta zig zogo pigwa Ex ki wakanda

Big up mid Zogo namba nane tuliwapanga 
Futa, Dimba manze jo Ah!  Sio mimba 
Big up kwa wale madem wote nimekemba 
X, Y, Z manze nimesahau jina

Fala apigwe Z ndio a T 
Gala apigwe D ndio a Shhh akimeza
Mala kilalo ndio zako za kutesa 
Kiriku mdogo ndio sasa anawabeba
ALO

Watch Video

About Sondeka Freestyle

Album : Sondeka Freestyle (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
Published : Oct 24 , 2019

More DELO Lyrics

DELO
DELO
DELO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl