Harusi Lyrics by JOVIAL


Harusi ni ya Mola eh, hee
Leo nalikamilisha aah
Ubachela kwaheri, kwaheri
Nabadilisha maisha, aah

Umenipa maruani, hata siamini
Umenikubali
Umejua kuniheshimisha mbele ya waumini
Umefunua umwari

Mashallah, mejaliwa uzuri 
Wa sura na tabia, aah tena
Hee wallah, tulizungushe bakuli
Wenye nacho kuchangia, aah aah

Leo naoa, naoa
Naoa mie 
Leo naoa, naoa
Naoa mie 

(Mmmm mmmh mmh)

Machozi ya furaha yananitiririka
Yaani kama ni kama mazihara, naolewa mie 
Zichepuke balaa, umeniona mimi mbele ya wengi
Umenipa ushujaa, nitake nini mie?

Watu wamependeza, ona wanavyocheza 
Baba umeniweza, ng'ang'ania
Mashallaah hujajaliwa kiburi
Usemacho wasikia, aah ah

Hee wallah, tulizungushe bakuli
Wenye nacho kuchangia, aah aah

Leo naolewa, naolewa
Naolewa mie 
Leo naolewa, naolewa
Naolewa mie 

Wale wa ubwabwa 
Wamekamata matonge matonge
Leta champagne
Tugoganishe vikombe vikombe

Ah kule wa kucheza
Wanazungusha miuno si --
Leo ni kushiba 
Tutoke ndani vibonge vibonge

Watch Video

About Harusi

Album : Harusi
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Apr 25 , 2020

More JOVIAL Lyrics

JOVIAL
JOVIAL
JOVIAL
JOVIAL

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl