JOVIAL Unanikosha cover image

Unanikosha Lyrics

Unanikosha Lyrics by JOVIAL


Baby zima taa tunapoianza hii sakata
Hapo hapo swadakta, nadata na huba lako
Tumba prakata rhumba chakacha, ai mbambata
Wanichezesha na kwaito

Baby nipe tena, tena
Niwe chachu ya birimbi
Unanibembeleza 
Mwakipesi na sheringe

Niite niite hata ki-utani
Jaguar mwenyewe utaniita nani
Maneno yananitoka kinywani 
Na sauti ni ya kudeka deka

Niite niite hata ki-utani
Jaguar mwenyewe utaniita nani
Maneno yananitoka kinywani 
Na sauti ni ya kudeka deka

Unanikosha roho, unanikosha roho
Unanikosha roho, unanikosha roho

Najijua najijua
Nikipenda wivu unanisumbua
Tena unanishanigundua
Mi kwako najishebedua

Yaani mambo kwako sambamba
Nikiwa nawe niko salama
Kitandani mechi kandanda
Tunacheza kandanda

Niite niite hata ki-utani
Jaguar mwenyewe utaniita nani
Maneno yananitoka kinywani 
Na sauti ni ya kudeka deka

Niite niite hata ki-utani
Jaguar mwenyewe utaniita nani
Maneno yananitoka kinywani 
Na sauti ni ya kudeka deka

Unanikosha roho, unanikosha roho
Unanikosha roho, unanikosha roho

Watch Video

About Unanikosha

Album : Unanikosha (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Nov 18 , 2021

More JOVIAL Lyrics

JOVIAL
JOVIAL
JOVIAL
JOVIAL

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl