MAARIFA Ukiniacha cover image

Ukiniacha Lyrics

Ukiniacha Lyrics by MAARIFA


Naitwa Maarifa, mtoto wa baba
Kibaa, finest

Ukivimba ah-ah nakukamua
Ukiwa mtata nakutatua
Kwa kuwa, najua 
Aliyeniumba ndiye atakaye niumbua

Eeh ukiamua kupenda
Au utakacho ukiamua tenda
Eeh ukigundua chenga
Ustarahishe moyo ukiamua kwenda

Ukienda yaani tu ukiniacha
Shiega ka kuvuja kwa pakacha
Ukisahau sikukumbushi ng'o
Na huu ni ukweli wala sikurushi roho

Ukiniacha, ukiniacha girl
Ukiniacha, ukiniacha girl
Ukiniacha sio gesi haswa
Natumia gesi usinitishie bei ya mkaa

Ayeyeyeye..ayeyyeye beiby
Ayeyeyeye, mmh kusalitiwa ni sehemu ya maisha
Ayeyeyeye..no no no no my love
Ayeyeyeye, kusalitiwa ni sehemu ya maisha

Ukiamua kwa dhati ukiamua
Nitakuwa bustani nikiwa ua
Ukizingua basi ukizingua
Yaani mi nikianika ukianua

Sasa vipi nidate na
Huku utamu wa pipi ni mate na
Niaje na, nipate sa
Ukiona majengeka jikate ma

Kwa maana hii, nina maana mi
Maana ni, ielewe, ayeyeyeye
Kukupenda haimaanishi
Siwezi kuishi bila wewe

Ukiniacha, ukiniacha girl
Ukiniacha, ukiniacha girl
Ukiniacha sio gesi haswa
Natumia gesi usinitishie bei ya mkaa

Ayeyeyeye..ayeyyeye beiby
Ayeyeyeye, mmh kusalitiwa ni sehemu ya maisha
Ayeyeyeye..no no no no my love
Ayeyeyeye, no no no no 

Yaani shega tu, yaani shega tu
Nikiwa siko shega tu
Niwe bachela shega tu
Hali mradi nina amani

Yaani shega tu, yaani shega tu
Nikiwa siko shega tu
Niwe bachela shega tu
Hali mradi nina amani

(This is Barnaba Boy classic)
(Naitwa Maarifa, Kiba finest)

Watch Video

About Ukiniacha

Album : Ukiniacha (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jan 30 , 2020

More MAARIFA Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl