
Mpe Simu Lyrics
...
Mpe Simu Lyrics by MAARIFA
It’s a time for Manzese Music Baby
Naitwa
Maarifa
Oooooh ooh oooh
Ooooh oooooh
Oooooh ooh oooh
Naomba mpe simu ili niongee naye
Hello
Hello Dear Hello
Nimimi hapa tena
Nakuna mengine tena
Nataka kusema
Umeumba roho haiwezi kukusumbua simu
Naomba nipe wafatao nimewa-miss unajua ni muhimu
Oya
Punguzei sauti ili nimpatie taarifa mama
Mwanao Rashid ndio huyu anaitwa Maarifa mama
Msanii wa taifa na maokoto sihaba
Haujachukia miekujiita mtoto wa baba…?
Namuomba Kanumba wakati anakuja amstue Ngwea
Kabla sijasema kitu Sharo uwe umesogea
Maana mziki na movie vidole na kucha
Hongereni sana siwezi wapa pole kwa kufa
Waunganishe Nyerere Mkapa na JPM
Nitatuma ujumbe nikitoka hii sehemu
Sasa naomba nimng’ate sikio anaitwa Ruge
Mtoto wa kino amemuoa aliyeimba kivuruge
Oooooh ooooh ooooh
Oooooh ooooh
Oooooh ooooh ooooh
Naomba mpe simu ili niongee naye
Oooooh Oooooh Oooooh
Oooooh ooooh
Oooooh ooooh ooooh
Naomba mpe simu ili niongee naye
Mpe simu Kapiteni
Kwa heshima naimwaga pombe
Loud speaker aweke amwite Kibonde
Aliowa-support hawakuja kuzika hizo ni dhambi
Ila jahazi lasonga la Adam na Hamis Mandi
G ulikuwaga MC kwenye msiba wa Steve B
Ebu vuta taswira unapoina hii (jijijiii)
Mwambie Skills amwite Mndojo ongee na machizi
Binaadamu wanaroho ndogo wamemuua ka-mwizi
Hold on
Mbona nasikia ka-sauti ya Zizi
Usikate naongeza bundle niongee na Geez
Mabovu (Dirty South Dawg)
Wana ametuachia makovu
Tuombeane tunawindwa na watu wenye nia ovu
Eti baba nikuulize unaye Ben Saanane….???
Mtoto wa Mawazo anamawazo mkewe Azory mjane
Nina cha mwisho ningependa kuongea na Magu
Ila naona mtandao unakata nakusikia kwa tabu
Oooooh Oooooh Oooooh
Oooooh ooooh
Oooooh ooooh ooooh
Naomba mpe simu ili niongee naye
Oooooh Oooooh Oooooh
Oooooh ooooh
Oooooh ooooh ooooh
Naomba mpe simu ili niongee naye
(Punguzei sauti ili nimpatie taarifa mama)
Watch Video
About Mpe Simu
More MAARIFA Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl