Haja Lyrics by MALKIA KAREN


Mwenzako nishaanza mwanzo
Sikufichi hope hata kwa macho
Simu ishaisha bundle
Yanini vijembe mipasho

Ata mwenzako sifikirii bado
Matapishi sirudii
Naona unazuga zuga bado
Kumi na nane siingii

Hasira hasara 
Kupenda sana ukaninyanyapaa
Nami nikaona haina maana
Nikajitoa unataka rudiana
Mbona kwangu mi?

Haina haja, haina haja
Aah nishamaliza, haina haja
Mbona kwangu basi, haina haja

Nilikupa unachohitaji
Mwenyewe nikajinyima
Ukanishusha na hadhi
Ukanikosea heshima

Labda nikuweke wazi
Muda wa kupoteza sina
Ushamwaga maji 
Yamenisomba na shina, ayee

Siwezi ng'ang'ania bango
Kuishi na wewe ka mapambo
Mimi natia nia unatania eiye yeah yeah

Hasira hasara 
Kupenda sana ukaninyanyapaa
Nami nikaona haina maana
Nikajitoa unataka rudiana
Mbona kwangu mi?

Haina haja, haina haja
Aah nishamaliza, haina haja
Mbona kwangu basi, haina haja

Watch Video

About Haja

Album : Haja (Single)
Release Year : 2021
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
Published : Nov 08 , 2021

More MALKIA KAREN Lyrics

MALKIA KAREN
MALKIA KAREN
MALKIA KAREN
MALKIA KAREN

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl