JUX Unaniweza cover image

Unaniweza Lyrics

Unaniweza Lyrics by JUX


(Abbah)

Pindi ukicheka we
Mi moyo unanitabasamu
Huwa mwenye kujihisi mororoo
Ila ukilia we
Hata kula nakosa hamu
Huwa mwenye kujihisi dororo

Ukiwa karibu na mie
Najiona bora
Lakini ukiwa mbali baby
Baridi linachoma
Uwepo wako we na mie
Umetia fora
We ndo daktari darling nikitaka kupona

Unaniweza weza
Unaniweza weza
Unaniweza weza
Unaniweza weza

Sitamani mwingine
Wala sidhani ka ataweza kutokea
Maana mambo yako moto moto moto
Labda upite ushetani mwingine
Maneno ya watu nishazoea i don’t care
Kila kukicha chokochoko
Unavyonipa rahaa
Ndo na nenepa mie
Penzi lako na tinga na ringa na bembea
Kinachokufaaa
Usisite niambie
Kwako niko radhi, hata zege nibebe machinga ni nadishee

Ukiwa karibu na mie
Najiona bora
Lakini ukiwa mbali baby
Baridi linachoma
Uwepo wako we na mie
Umetia fora
We ndo daktari darling nikitaka kupona

Unaniweza weza
Unaniweza weza
Unaniweza weza
Unaniweza weza

Unaniweza weza
Yeiyeeee, I do it for love, For love
Unaniweza weza
For love , For love , I do it for love
Yeeeee
Unaniweza weza

Watch Video

About Unaniweza

Album : Unaniweza (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019 AfricanBOY
Added By : Huntyr Kelx
Published : Nov 01 , 2019

More lyrics from The Love Album album

More JUX Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl