
Ex Wa Nani Lyrics
...
Ex Wa Nani Lyrics by JUX
Nyie Asiyefaa Amefaaa
Kweli Mtu Sio Mbwa
Asa hivi Anang’aa Kama Chokaa
Nyie Mungu Anajuwa Kuumba
Kama Ulimuacha Kisa Amechakaa
Kwangu Kaja Mbona Ameng’ara
Kama Ulimuacha Kisa Amefubaa
Kwangu Kaja Anang’arang’araa
Sijui Na Date Na Ex Wanani Lakini Na Mpenda
Sijui Na Date Na Ex Wa Nani Ila Kwangu Ndio Ma Every Thing aaaaa
Oooooh My Everything
Aaaaah My Every thing
Oooooh My Everthing
Aaaaah My Everything
Alitupa, utumbo Wenzake Tukaliaa Ndizi
Kasusa Siye twala
Sina Pupa, Anavyonipa Mi Vinanikidhi
Wala Sina papala
Kwanza Nampa pole Aliyeachana nae
Mana nishaanza Kufanana nae
Tena Kokote Mi natamba nae
Atandike jamvi Chini akae
Sijui Na Date Na Ex Wanani Lakini Na Mpenda
Sijui Na Date Na Ex Wa Nani Ila Kwangu Ndio Ma Every Thing aaaaa
Oooooh My Everything
Aaaaah My Every thing
Oooooh My Everthing
Aaaaah My Everything
Anaitwa Meneja Swagg Daddy Ray
Sikia Kituu Hikoo
Aya sasa Kulwa Anatoka
Doto Anaingia
Mwenyewe Kashoboka
Kaning’aninia
Kulwa Anatoka
Doto Anaingia
Mwenyewe Kashoboka
Kaning’aninia Mama
Kaulamba huyo Kaulamba Huyo
Kaulamba Utamu Wa bakhresa
Kaulamba huyo Kaulamba Huyo
Kaulamba utamu wa bakhresa
Kaulamba huyo Kaulamba Huyo
Kaulamba utamu wa bakhresa
Kaulamba huyo Kaulamba Huyo
Kaulamba utamu wa bakhresa
Kanivuraga kafanya Nimepagawa
Nilivyoona Bonge La chura Nikachachawa
Oya Chura (Ananesa Nesa)
Chura (Anaruka Ruka)
Chura (Ananesa Nesa)
Oya Chura (Anaruka Ruka)
Oya Huku Na Huku Kwenye Vibe Wapi (huku)
Likipigwa Hili goma Tunaenda Wapi
Huku Na Huku Kwenye Vibe Wapi (huku)
Likipigwa Hili goma Tunaenda Wapi
Aya sasa Tunaenda (huku)
Tunarudi (huku)
Tunaenda (huku)
Tunarudi (huku)
Watch Video
About Ex Wa Nani
More JUX Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl