
Pawa Lyrics
...
Pawa Lyrics by MBOSSO
S2kizzy baby
Kamusi namaliza kurasa kukusifia
Matusi naiona basata wakinifungia
Theluthi hizi raha ninazopata mia fil mia aah
Mjusi ukuta wa plasta nauparamia
Na kama penzi ni chupa la bia
Nipe sana niwe mlevi ni yumbe yumbe njia
Kwa maana we mlezi na unanijulia
Hawana hawawezi pakukuibia dear
Pawa pawa
Naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa
(pawa pawa
Naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa)
Pawa pawa pawa naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa
(pawa pawa
Naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa)
Nilifeli secondary kwendaga chuo
Ila kufeli penzi lako sina hilo chaguo
Yeremia mstari ni funue ufunuo oooh
Nikupambe kwa matari mwilini iwe nguo
Na kama penzi ni chupa la bia
Nipe sana niwe mlevi ni yumbe yumbe njia
Kwa maana we mlezi na unanijulia
Hawana hawawezi pakukuibia dear
Pawa pawa
Naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa
(pawa pawa
Naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa)
Pawa pawa pawa naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa
(pawa pawa
Naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa)
Watch Video
About Pawa
More MBOSSO Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl