...

Pawa Lyrics by MBOSSO


S2kizzy baby

Kamusi namaliza kurasa kukusifia

Matusi naiona basata wakinifungia

Theluthi hizi raha ninazopata mia fil mia aah

Mjusi ukuta wa plasta nauparamia

Na kama penzi ni chupa la bia

Nipe sana niwe mlevi ni yumbe yumbe njia

Kwa maana we mlezi na unanijulia

Hawana hawawezi pakukuibia dear

Pawa pawa

Naishiwa pawa

Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa

(pawa pawa

Naishiwa pawa

Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa)

Pawa pawa pawa naishiwa pawa

Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa

(pawa pawa

Naishiwa pawa

Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa)

Nilifeli secondary kwendaga chuo

Ila kufeli penzi lako sina hilo chaguo

Yeremia mstari ni funue ufunuo oooh

Nikupambe kwa matari mwilini iwe nguo

Na kama penzi ni chupa la bia

Nipe sana niwe mlevi ni yumbe yumbe njia

Kwa maana we mlezi na unanijulia

Hawana hawawezi pakukuibia dear

Pawa pawa

Naishiwa pawa

Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa

(pawa pawa

Naishiwa pawa

Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa)

Pawa pawa pawa naishiwa pawa

Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa

(pawa pawa

Naishiwa pawa

Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa)

Watch Video

About Pawa

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright :
Added By : Farida
Published : Jun 17 , 2025

More MBOSSO Lyrics

MBOSSO
MBOSSO
MBOSSO
MBOSSO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl