...

Kasimama Lyrics by NOKEY


Lala laaah la la lala

Lala laaah la la lala

Lala laaah la la lala

Lala laaah la la lala

Aaah sio mimi wala akili yangu

Hisia zimeanguka kwako

Sio mimi, wala matakwa yangu

Hisia zimezama kwako

Wewe hapo unafanya naogopa

Wewe hapo usije ukaondoka

Wewe hapo mwenzako ntakufa

Wewe eeeh ukija kuniacha

Ona kasimama kamuona

Kasimama kamuona

Ona kamuona

Kasimama kamuona

Ona kasimama

Peke yake

Kasimama

Mchumba wake

Kasimama

Peka yake

Kamuona

Mchumba wake

Ona kasimama

Peka yake

Kamuona

Mchumba wake

Mmmh weed

Yeah ulio mtaka kaja huyu hapa

Umemgsisha paja huyu hapa

Shake shake nae mwenyewe

Cheza cheza nae mwenyewe

Umemtoa mbali buguruni m alapa

Umemleta beach umemuonesha papa

Shake shake nae mwenyewe

Cheza cheza nae mwenyewe

Kasimama peke yake

Afu na makeke yake

Kaona mavitu yake

Kaona mavitu yake

Kasimama peke yake

Afu na makeke yake

Kaona mavitu yake

Kaona mavitu yake

Ona kasimama kamuona

Kasimama kamuona

Ona kamuona

Kasimama kamuona

Ona kasimama

Peke yake

Kasimama

Mchumba wake

Kasimama

Peka yake

Kamuona

Mchumba wake

Ona kasimama

Kamuona

Watch Video

About Kasimama

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright :
Added By : Farida
Published : May 01 , 2025

More NOKEY Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl