NOKEY Mapenzi Sio Vita cover image

Mapenzi Sio Vita Lyrics

Mapenzi Sio Vita Lyrics by NOKEY


Katavi boy

Mama ulifata mziki
Na haukunipenda ah mimi
Kupitia muziki
Labda ninge fanikiwa aah
Imani yako ipii
Labda kesho ingekuwa ya furaha ah
Uvumilivu uh
Tunge fanikiwaa aah
Kule kwishi unapungua
Ulikonda na mawazo oh
Name hilo sikulijuwa ah
Niliaminii kesho oh
Lile penzi ulinipatia ah
Limegeuka ah mateso oh
Umekuwa zimwi umenijuwa ah
Umenila ah nimekwisha ah

Na unanionesha ah
Ubaya wako wote eh uliouficha ah
Na unanionesha ah
Uko na mwenzako mbele unampitisha ah
Na unanionesha ah
Ukumbuke kwanzo wewe ndo ulianzisha
Na unanionesha ah
Ili mradi moyo uweze kuudhohofisha ah

Mapenzi sio vita (aah aah aah)
Tuliachana yakaisha ah (aah aah aah)
Mapenzi sio vita (aah aah aah)
Tuliachana yakaisha ah (aah aah aah)

Mara hii unaona
Ni rahisi unaona
Ila kwangu inaumaa aah
Wewe eh
Kuacha raha unaona
Ila kwangu inauma ah
Ukichwa inaumaa ah ah
Hivi kipi kilinifanya nikupende eh
Moyo umeuchana kiwembe eh
Nilidhani haruwa kumbe tende, tende eh
Sio wa mbagala sio wa mwenge
We wa mradi kote twende
We kufanya tu uende

Na unanionesha ah
Ubaya wako wote eh uliouficha ah
Na unanionesha ah
Uko na mwenzako mbele unampitisha ah
Na unanionesha ah
Ukumbuke kwanzo wewe ndo ulianzisha
Na unanionesha ah
Ili mradi moyo uweze kuudhohofisha ah

Mapenzi sio vita (aah aah aah)
Tuliachana yakaisha ah (aah aah aah)
Mapenzi sio vita (aah aah aah)
Tuliachana yakaisha ah (aah aah aah)

takaisha ah

Watch Video

About Mapenzi Sio Vita

Album : Mapenzi Sio Vita (Single)
Release Year : 2023
Added By : Farida
Published : Jul 11 , 2023

More NOKEY Lyrics

NOKEY
NOKEY

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl