
Merijaah Lyrics
...
Merijaah Lyrics by MBOSSO
S2kizzy baby
Jirani yangu, jirani yangu tumezoeana
Mlango wake, mlango wangu vinatazamana
Sukari kwake, chumvi kwangu tukaazimana
Akawa bf wangu, udugu wangu tukashibana
Mwisho tukapendana
Ooh meri merijaah
Kama ingekuwa ndoo ya maji ingejaa
Na kama ingekuwa nguo mwilini ningevaa
Oooh meri meri
Ooh meri merijaah
Kama ingekuwa ndoo ya maji ingejaa
Na kama ingekuwa nguo mwilini ningevaa
Oooh meri meri
Ooh meri merijaah
(Oooh meri meri
Ooh meri merijaah
Oooh meri meri
Ooh meri merijaah)
Mwambani mwambani eeeeh
Mwambani msuli na khanga
Wazania wazania eeheeeeehh
Waambie ndo tunayaanza
Ooooooooh
Ooh meri merijaah
Kama ingekuwa ndo ya maji ingejaa
Na kama ingekuwa nguo mwilini ningevaa
Oooh meri meri
Ooh meri merijah
Kama ingekuwa ndo ya maji ingejaa
Na kama ingekuwa nguo mwilini ningevaa
Oooh meri meri
Ooh meri merijaah
(Oooh meri meri
Ooh meri merijaah)
Watch Video
About Merijaah
More MBOSSO Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl