...

Amepotea Lyrics by MBOSSO


Vipeperushi vinasambaa

Eti natafutwa aah

Nimepotea wiki imekata

Ndugu wamechachamaa

Wananitafuta aah

Nimepotea mwezi umekata

Kazini sionekani yupo wapi huyu

Simuni sipatikani yupo wapi huyu

Baba kaniulizia yupo waapi huyu

Mama haishi kulia

Yupo wapi huyu mimi

Nimezama katika kina kirefu cha bahari ya mapenzi

Nimezama katika kina kirefu cha bahari ya mapenzi

Sio andit purrer mwana Rajab mlomkuta

Tanga sijafanywa msukule msipate tabu

Kumaliza waganga

Amenirudisha shule hesabu maumbo kupanga

Penzi lawa sasa mbule lenye protini vitamini na wanga

Aaah ladha yake, si sukari, ni vichenza na malimao

Mechi zake huwa hatari, ni chenga na mabao

Kazini sionekani yupo wapi huyu

Simuni sipatikani yupo wapi huyu

Baba kaniulizia yupo waapi huyu

Mama haishi kulia

Yupo wapi huyu mimi

Nimezama katika kina kirefu cha bahari ya mapenzi

(Msinitafute, msihangaike nipo salama)

Nimezama katikakina kirefu cha bahari ya mapenzi

Watch Video

About Amepotea

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright :
Added By : Sharon Abonyo
Published : Jul 17 , 2025

More MBOSSO Lyrics

MBOSSO
MBOSSO
MBOSSO
MBOSSO

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl