Vibaya Lyrics
Vibaya Lyrics by HARMONIZE
B Boy mmmh
Oa aaah, oooh aaah
Oooh aah...ooooh
Alisema mapenzi vita
Mi na yeye tuungane kuwateketeza maadui
Eeh maadui
Badala ya miezi kupita aah
Vikombe lazima vigongane
Na sio kwamba hayajui, eeh hayajui
Pigo za kusema vya ndani mi sinaga hizo
Ama kumtafuta mchawi ni nani ni kuongeza tatizo
Tulia hapa tutakuwa wa ndani hadi paradiso
Na tukatangaza kweupe mambo ya hadharani
Na tattoo ndo hizo, oh oh ohhh
Sitaki kuamini kwamba
Lile kapu la mabaya yangu
Halina hata machache mema oh mema
Nitakuwa mshamba
Nikiyasema yote mabaya ya mwenzangu
Ili nionekane mwema
Japo mapenzi yanaumiza
I wish tusisemane (Vibaya vibaya)
Ili kesho tusizikane (Vibaya vibaya)
Usiwasikilize wapambe (Vibaya vibaya)
Wanachotaka maneno ili kesho watuchambe (Vibaya vibaya)
Oa aaah, oooh aaah
Oooh aah...ooooh mmmh
Nitunzie siri zangu
Nami nitunze zako za miaka rudi nenda
Kuna leo na kesho mmh mmh mmh
Hata maadui zangu walikuwaga maadui zako
Hawawezi kukupenda wanakuvuta uwe kichekesho
Mmmh mmh mmh
Maana hata ukisambaza
Picha zangu za aibu ni sawa, hata hunikomoi
Na hata utupu wako ukiutandaza
Kwa watu wangu wa karibu sio doa, hujengi hubomoi
Mama kuna kamchezo mtunze mtoto wako
Na watu wenye majungu (Majungu)
Nilikubali kuviacha vya dezo
Sababu ya mapenzi yako nikaachana na mzungu (Mzungu)
Maneno yao utadhani wanakutetea
Kumbe tudhalilishane wanachongojea
Usiwape faida wambea
Na ni kama kawaida nakuombea
Sitaki kuamini kwamba
Lile kapu la mabaya yangu
Halina hata machache mema oh mema
Nitakuwa mshamba
Nikiyasema yote mabaya ya mwenzangu
Ili nionekane mwema
Japo mapenzi yanaumiza
I wish tusisemane (Vibaya vibaya)
Ili kesho tusizikane (Vibaya vibaya)
Usiwasikilize wapambe (Vibaya vibaya)
Wanachotaka maneno ili kesho watuchambe (Vibaya vibaya)
Oa aaah, oooh aaah
Oooh aah, ooh aah...ooooh mmmh
(Konde Music Worldwide)
B Boy thank you for the sound
Sound...Sound
Watch Video
About Vibaya
More HARMONIZE Lyrics
Comments ( 1 )
Walai konde gang is bad news More blessings konde boy We pray for more better days Representing Konde Gang music #NorthernUganda
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl