HAMADAI Tukatiane cover image

Tukatiane Lyrics

Tukatiane Lyrics by HAMADAI


Habiti, ai sweety
Jina gani unapenda wewe? Ai wewe
Wapi tufanye kwichi kwichi
Chumbani ama kwenye miti miti?

Nakusikiza wewe, yaani wewe
Watembea na roho yangu 
Mimi nimebaki kivuli tu
Wanyaku wambie wametoka kapa

Ah penzi umelitia pingu
Umeongeza na kufuli huku
Hadi utakapo mwenyewe 
Ndo mambo swadakta

My beiby nikatie(Sawaa)
Nikukatie (Sawaa)
Tukatiane(Sawa sawa)
Aah aah

Kachori nikatie(Sawaa)
Kababii nikukatie (Sawaa)
Sisi tukatiane eh eh(Sawa sawa)
Aah aah

Aii nikatie(Sawaa)
Nikatie (Sawaa)
Tukatiane(Sawa sawa)
Ayayaya....

Nitakufuata fuata kwa vipochi pochi
Manoti noti, wakatae
Wakikukosa kwa chenga watakupiga dochi
Wamalize mechi, usizubae

Unastahili
Nikupatie japo shoti mbili
Ulewe, ulewe

Mtaani saga kachiri 
Na mimi nipate japo viwili
Nilewe, nilewe

My beiby nikatie(Sawaa)
Nikukatie (Sawaa)
Tukatiane(Sawa sawa)
Aah aah

Kachori nikatie(Sawaa)
Kababii nikukatie (Sawaa)
Sisi tukatiane eh eh(Sawa sawa)
Aah aah

Aii nikatie(Sawaa)
Nikatie (Sawaa)
Tukatiane(Sawa sawa)
Ayayaya....

Usinivunje mwenzio(Sawaa)
Usinionee mwenzio(Sawaa)

Tunda la mti kati(Sawaa)
Kula lote lisibaki(Sawaa)
Beiby wa wasiwasi 
Umeutoa wapi?

Achana na pipi basi(Sawaa)
Utamu wa ndizi karoti(Sawaa)
Si nimeleta koni
Umeificha wapi?

Sawaa, sawaa, sawa sawa 

Watch Video

About Tukatiane

Album : Tukatiane (Single)
Release Year : 2019
Copyright : (c) 2019 Kwetu Studios
Added By : Huntyr Kelx
Published : Nov 05 , 2019

More HAMADAI Lyrics

HAMADAI
HAMADAI
HAMADAI
HAMADAI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl