...

Deka Lyrics by HAMADAI


Mmmh yaza man

Woo woo woooh

Aah

Kananichanganya haka katoto

Kananifanyia mchezo

Nikikaona mie tumbo joto

Kanapendanga dezo dezo aiii

Nataka kinizalie watoto

Maana kanakizi vigezo

Tupendane kwa raha na msoto

Tukiwa chumbani madekezo

Aah lazizi weeeh

Mwenzako nimeziba masikio siwaskizi eeh (siwaskizi)

Wakileta umbea natoka mbio

Lazizi weeh

Nimeziba masikio

Siwaskizi eeh (siwaskizi)

Nikikupoteza itakua kilio

Sasa ni muda wa kudeka

Yaliniumiza mapenzi

Yalinitesa kishenzi

Sasa ni muda wa kudeka

Yaliniumiza mapenzi

Yalinitesa kishenzi sasa ni muda wa kudeka

Aaaah aaai aaah

Mi kwako kiwete mwenye magongo

Kukukimbia sina uwezo

Maneno matamu siongei fyongo

Mixer kukupa mikonyezo

Kama gazeti waende kwa shigongo

Huku ni habari za michezo

Hii couple haina longo longo tajiri

Tumezingatia vigezo

Ooh lazizi weeh (lazizi)

Mwenzako nimeziba masikio

Siwaskizi eeh (siwaskizi)

Wakileta umbea natoka mbio

Siwaskizi eeh (siwaskizi)

Nikikupoteza itakua kilio

Sasa ni muda wa kudeka

Yaliniumiza mapenzi

Yalinitesa kishenzi

Sasa ni muda wa kudeka

Yaliniumiza mapenzi

Yalinitesa kishenzi sasa ni muda wa kudeka

Watch Video

About Deka

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright :
Added By : Sharon Abonyo
Published : Jul 19 , 2025

More HAMADAI Lyrics

HAMADAI
HAMADAI
HAMADAI
HAMADAI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl