
Andida Lyrics
Andida Lyrics by HAMADAI
Anandida huyoo
Nimempima malaria hana, nimempina
Nimempima typhoid hana, nimempima
Nimempima na kaswende hana, nimempima
Nimempima HIV hana, nimempima
Nataka nimpeleke kwa mama anaogopa
Nikamtambulishe kwa wana anaogopa
Mwenzenu mi bado kijana naogopa
Sijui ana ugonjwa gani huyu maana naogopa
Kumbe anandi, anandida anandi (Andida)
Huyo anandi, anandida anandi (Andida huyo)
Kumbe anandi, anandida anandi (Andida)
Anandi, anandida anandi (Andida huyo)
Toto kinanda shepu kibanda, ila mmh mmh
Kiuno cha langa, chambu karanga ila, anandi
Muda wote nasikia kiu kiu, aah kiu kiu
Hataki maji anataka naniliu, aah naniliu
Corona kisukari, hana
Gono, UTI, hana
Kipindu pindu yuko shwari, hana
Kumbe ana nini, anandi
Nataka nimpeleke kwa mama anaogopa
Nikamtambulishe kwa wana anaogopa
Mwenzenu mi bado kijana naogopa
Sijui ana ugonjwa gani huyu maana naogopa
Kumbe anandi, anandida anandi (Andida)
Huyo anandi, anandida anandi (Andida huyo)
Kumbe anandi, anandida anandi (Andida)
Anandi, anandida anandi (Andida huyo)
Watch Video
About Andida
More HAMADAI Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl