
Sijali Lyrics
Sijali Lyrics by ROSE NDAUKA
Sijali sijali
Sijali sijali sijali...
Asa kwanini unipige pini nashangaa
Mwanga ulikuwa mwingi vipi basi uzime taa
Siwezi tena nyanyuka nimeduwaa
Nishindwe ni vipi wapi nimejikaa
Yaani wanataka mimi nisifike mbali
Nipate matatizo usiku silali
Nawaambie haya yote majaribu
Nisishindane nayo nitakuja haribu
Ila mimi bado ndo kwanza mi nakazana
Sitaacha milele nitazidi kushindana
Watasema lakini nitazidi kupambana
Kweli binadamu ni watu wa ajabu sana
Imani yako ndio silaha yako Mola ndo ajua
Apangalo Mungu mwanadamu hawezi pangua
Eeh sijali sijali sijali,
Bado napambana
Sijali sijali sijali
Bado napambana
Saa hivi nina mengi mpaka mengine nayasahau
Walileta madharau kweli mi sitosahau
Na si utani dah leo hii kila napopita
Wasiponigusa basi wataniita
Wabaro zao zote zilisita
Wakati wao ndo walioanzisha vita
Na nimewajua wote na nipo nao kivyovote
Walitaka nisote kwenye maisha nisitoke
Na nisifike popote
Imani yako ndio silaha yako Mola ndo ajua
Apangalo Mungu mwanadamu hawezi pangua
Eeh sijali sijali sijali,
Bado napambana
Sijali sijali sijali
Bado napambana
Kama sio leo kesho kwote ni changamoto
Nitapata wakati wangu upo
Ila mimi sijali yeiyee
Ila mi sijali...
Watch Video
About Sijali
More ROSE NDAUKA Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl