HAMADAI Wapinzani wametoa BOKO  cover image

Wapinzani wametoa BOKO Lyrics

Wapinzani wametoa BOKO Lyrics by HAMADAI


Boko, boko wametoa boko
Wapinzani wamechina 
Wametoa boko, boko wametoa boko

Chama chetu imara
Namba moja imara CCM
Magufuli ndo kinara
Kapita kila idara CCM

Sifanyi kosa kamwe
Kuitupa kura yangu nilalame baadae
Wale wale nawaamini
Viongozi wa nchi yangu ukubali ukatae

Magufuli, safi, Mama Samia eeh
Safi, CCM safi
Kassim Majaliwa ndo wangu wa hoyee, safi
Safi Chama changu safi

Suleiman Jafo, Joketi kizawe safi
Safi, CCM safi
Mheshimiwa Bashe kilimo tumeona, safi 
Safi Chama changu safi

Mheshimiwa Mwakembe michezo tumeona, safi
Safi, CCM safi

Kupambana na Magufuli 
Wametoa boko, boko wametoa boko
Kushinda na CCM 
Wametoa boko, boko wametoa boko

Ah wapinzani wamechina 
Wametoa boko, boko wametoa boko
Magufuli 4G hatetereki
Boko, boko wametoa boko

Magufuli, safi, Mama Samia eeh
Safi, CCM safi
Mheshimiwa Biteko madini tumeona, safi
Safi Chama changu safi

Kigwa Ngala hoye utalii tumeona, safi
Safi, CCM safi
Bandarini pia ooh tumeona, safi 
Safi Chama changu safi

Juma Uweso kwenye maji tumeona, safi
Safi, CCM safi
Mheshimiwa Bashungwa tumeona, safi
Safi, CCM safi

Umi Mwalimu kwenye afya tumeona, safi 
Safi Chama changu safi
Mama ndalichako kwenye elimu tumeona, safi 
Safi Chama changu safi

Watch Video

About Wapinzani wametoa BOKO

Album : Wapinzani wametoa BOKO (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Jul 12 , 2020

More HAMADAI Lyrics

HAMADAI
HAMADAI
HAMADAI
HAMADAI

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl