PLATFORM Chuki cover image

Chuki Lyrics

Chuki Lyrics by PLATFORM


(Its new Aloneym pon the track)

Dalili ya mvua mawingu na mapenzi ni vita
Ndo nikuambie nilishapiga na tunguli
Kusaka amani ya penzi langu
Ila haikupatikana

Najua ulinivisha na kilemba cha ukoka
Nikiamini ni kata
Na natambua haya mapenzi ni vita mazima
Ukakata na shina

Sitaki kuamini mapenzi upofu
Maana kwingine nitapenda
Na japo na moyo uliupa makovu
Hadi na nuru ikazima

Sitaki kuamini mapenzi upofu
Maana kwingine nitapenda
Na japo na moyo uliupa makovu

Chuki, chuki
Chuki, chuki

Nimeyanawa kwa viganja vyangu viwili
Yote sawa
Siwezi ng'ang'ana na pendo
Oooh unione chawa

Mapenzi pipi wana-share
Siku hizi hakuna tena kupendana
Na hata ukikaza utalegeza
Na mwisho wa siku mtabwagana

Sitaki kuamini mapenzi upofu
Maana kwingine nitapenda
Na japo na moyo uliupa makovu
Hadi na nuru ikazima

Sitaki kuamini mapenzi upofu
Maana kwingine nitapenda
Na japo na moyo uliupa makovu

Chuki, kwako kunidanganya
Wanipenda sana, moyo ukaujenga
Chuki, ukazichanganya 
Hasi ikawa chanya, moyo ukaujenga

Chuki, ulo nifanya niyachukie na mapenzi
Ni wewe
Chuki, oooh yeah yeah
Atonipenda sana, nipenda sana wowowowo

Watch Video

About Chuki

Album : Chuki
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Apr 25 , 2020

More PLATFORM Lyrics

PLATFORM
PLATFORM
PLATFORM
PLATFORM

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl