PLATFORM Mapepe  cover image

Mapepe Lyrics

Mapepe Lyrics by PLATFORM


Kama ikitokea amani ya moyo imetoweka
Ah bora kunizika, kuliko kukukosa
Eh Nahata kama ikitokea nipo kwenye shida  
Aah mi nimeridhika siwezi kukutosa
Mmmh alafu nikwambie ewe eeh umeishika pumzi
Pumzi ya mapenzi
Chochote niambie ewe eeh
Yani kama chizi chizi wa mapenzi
Nami virago vyangu ndo nishafunga
Moyo umekuchagua
Unakuta wewe eh
Lango ndo nishafunga
Moyo umekuchagua
Unakutaka taka

Aaah aaah aah aah aah aah
Aeeh sina mapepe amini kwako nimetulia
Aaah aaah aah aah aah aah
Aeeh sina mapepe amini kwako nimetulia

Mmh nimetulia tulia alafu nina amani hasa ninapokuwa na wee
Eeeh tulichumia vya juani tukaishinda mitihani ah wewe
Mimi furaha yangu ndio wewe
Aah wewe ndio hao marafiki vijini mmh
Wasiopenda uwe na mimi
Mmh
Watasubiri subiri  eeh iye
Walidhani hutokua wa mimi
Ona wanavyodhalikika sie tunapeta na jiji  
Nami virago vyangu ndo nishafunga
Moyo umekuchagua
Unakuta wewe eh
Lango ndo nishafunga
Moyo umekuchagua
Unakutaka taka

Aaah aaah aah aah aah aah
Aaah aaah aah aah aah aah
Aeeh sina mapepe amini kwako nimetulia
Nimetulia nimetuli sina mbambamba
Aeeh sina mapepe amini kwako nimetulia
Aah nimeunaliza mwendo aah mwendo mwendo

Watch Video

About Mapepe

Album : Mapepe (Single)
Release Year : 2023
Copyright : © 2023 Abbah Music
Added By : Farida
Published : Jun 28 , 2023

More PLATFORM Lyrics

PLATFORM
PLATFORM
PLATFORM
PLATFORM

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl