RUBY Dakika Moja cover image

Dakika Moja Lyrics

Dakika Moja Lyrics by RUBY


 

Oooh oooh
Hey yeiii yeah

Sukari imegeuka chumvi
Aka amegeuka chui
Matope yamekuwanga vumbi
Maziwa yamegeuka tui

Upendo na baba ni kwa zamani
Siku hizi kufa kufaana 
Upendo hauna dhamani, hey

Upendo na mama mama ni kwa zamani
Siku hizi kufa kufaana
Upendo hauna dhamani

Dunia ina raha yake iyee
Na mabaya yamo humo
Na visanga vyake iyee
Na mabaya yamo humo

Dunia ina raha yake iyee
Na mabaya yamo humo
Na visanga vyake iyee
Na mabaya yamo humo

Ukifika nenda mwambie
Dakika moja tu
Mimi nataka niongee naye 
Dakika moja tu

Akichelewa nitasubiri
Nitangoja tu
Ila nataka niongee naye
Dakika moja tu

Aaaah....

Naona kama me nachomwa na jua
Usiku mkali, na maradhi naugua
Unanichanganya, navyo sema  nazingua
Kisasi na salary, me nawaza nawazua

Aaah, si ulikubali, kwa kila hali baba
Leo mwisho wa safari, unarudi nyuma baba
Si ulikubali, kwa kila hali baba
Leo mwisho wa safari, unarudi nyuma baba

Hee
Dunia ina raha yake iyee
Na mabaya yamo humo
Na visanga vyake 
Na mabaya yamo humo

Dunia ina maajabu yake 
Na mabaya yamo humo
Na visanga vyake iyee
Na mabaya yamo humo

Ukifika nenda mwambie
Dakika moja tu
Mimi nataka niongee naye 
Dakika moja tu

Akichelewa nitasubiri
Nitangoja tu
Ila nataka niongee naye
Dakika moja tu

Mwambie azibe nyufa
Akichelewa nitakufa

Hey
Sawa sawa, sawa sawa
Sawa sawa, sawa sawa
Sawa sawa, sawa sawa
Sawa sawa, sawa sawa

Watch Video

About Dakika Moja

Album : Dakika Moja (Single)
Release Year : 2019
Copyright : All rights to the owner.
Added By : Huntyr Kelx
Published : May 04 , 2019

More RUBY Lyrics

RUBY
RUBY
RUBY
RUBY

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl