RUBY Jela cover image

Jela Lyrics

Jela Lyrics by RUBY


Jela, Jela, Jela

Kwa kipindi kirefu nimefungwa bila kosa
Aaa funguo za jela nimfuko wangu mwenywe
Nikipata nitatoka nikikosa nikusotaa
Taabu zetu mimi na wewe zimeniwz kwa ke cell
Aaa nimepata visarafu  sarafu  mamangu, kazidiwa
Wakasema ukatili we ulaya nikakosaa la maana
Likaja deal la mzungu mtoto kaugua
Kumsababisha  apone ndani nikarjea
Sio kama napendaa kuishi jela unajuaa
Nikisema nirudi mtaani aibu fedheha
Mwambie na aalyah binti yanu nimemkumbuka sana
Nitarudi na vizawadi inshaallah niombe…Ah
Si unajua nikirudi

Tutaimba na nyimbo, tukiwa na furaha
Tutavaa mitindo nikipta faranga
We niombe kwa mungu nitatoka labdaa
Riziki mafungu ninangoja la sabaa…,Ooooh wooh

Jela.. jela hii ya pesa
Jela.. jela hii ya pesa
Jela.. jela hii ya pesa
Jela.. jela hii ya pesa

Huu…yale maneno mitaani yasikutibueee
Utaskia skuizi mwanao malaya wananiharibiaaa
Mtu mwznywe mji ya shingo nikipata kidogo natumaaa
Wangejua  inavyoumaa machungu ya  jua na njaaa
Vipi serikal ya mtaaa wanabomoaa…ha
Hatukujega sawaa na wala sitaki kuzaziaa
Gerezani, nachokaa, nakondaa mwanao wanihurumie
Natafuta kwa taabu oh na sijawasahau
Ooh huwaga navuma na chache
Niipata voche nakupigiaa
Kukujulia hali ,kipenzi niombeee
Aah… si unajua nikirudi

Tutaimba na uyimbo, tukiwa na furaha
Tutavaa mitindo nikipta faranga
We niombe kwa mungu nitatoka labdaa
Riziki mafungu ninangoja la sabaa…,Ooooh wooh

Jela.. jela, hii ya pesa
Jela.. jela, hii ya pesa
Jela.. jela, hii ya pesa
Jela.. jela, hii ya pesa

Watch Video

About Jela

Album : Jela (Single)
Release Year : 2021
Added By : Farida
Published : Dec 08 , 2021

More RUBY Lyrics

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl