JESSICA HONORE Halleluya cover image

Halleluya Lyrics

Halleluya Lyrics by JESSICA HONORE


Sifa za bwana zivume
Na watu wote wajue 
Halleluya

Halleluya, Halleluya
Sifa za bwana zivume
Halleluya, Halleluya
Kwa yote anayoyatenda

Halleluya, Halleluya
Sifa za bwana zivume
Halleluya, Halleluya
Kwa yote anayoyatenda

Katika shida yangu
Nalimuita Bwana
Naye Bwana alisikia
Na kuniitikia

Bwana yu upande wangu sitaogopa 
Mwanadamu atanitenda nini?

Mkono wa kuume wa Bwana
Umenishikilia
Kwa mkono wake Bwana
Ninatenda makuu

Sitakufa nitaishi
Nami nitasimulia
Matendo makuu ya Bwana
Aliyonitendea

Halleluya, Halleluya
Sifa za bwana zivume
Halleluya, Halleluya
Kwa yote anayoyatenda

Halleluya, Halleluya
Sifa za bwana zivume
Halleluya, Halleluya
Kwa yote anayoyatenda

Shukuruni bwana kwa kuwa ni mwema
Kwa maana fadhili zake, za milele
Tuliokoka na tuseme sasa
Ya kwamba fadhili zake, za milele

--
--

Watch Video

About Halleluya

Album : Mwamba (Album)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Aug 09 , 2020

More lyrics from Mwamba album

More JESSICA HONORE Lyrics

JESSICA HONORE
JESSICA HONORE
JESSICA HONORE
JESSICA HONORE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl