JESSICA HONORE Nakuamini cover image

Nakuamini Lyrics

Nakuamini Lyrics by JESSICA HONORE


Hata tusipokuamini
Wewe utabakia wa kuaminiwa
Heri mimi kukuamini
Maana umedhibitika wa kuaminiwa

Hakuna mtihani ule uliitwa
Kwako ukakosa jibiwa
Na hakuna jibu ulotoa
Likakosa jitosheleza

Nakuamini Yesu ee
Kiongozi wangu bora ee
Kama kipofu kwa fimbo yake
Sitakuacha ehe 

Nakuamini Yesu ee
Kiongozi wangu bora ee
Kama kichanga kwa mama yake

Kuna wakati ulinisubirisha
Nusura nikate tamaa
Nikakumbuka wako wema
Imani yangu ikainuka

Kumbe ulikuwa waniimarisha
Hatua zangu kuzisogeza
Sasa mwendo nimeuanza
Na imani yangu kwako imesimama

Nakuamini Yesu ee
Kiongozi wangu bora ee
Kama kipofu kwa fimbo yake
Sitakuacha ehe 

Nakuamini Yesu ee
Kiongozi wangu bora ee
Kama kichanga kwa mama yake

Naamini nguvu zako
Naamini uwezo wako
Upendo ni sifa yako

Naamini kazi zako
Naamini neno lako
Na yote uyafanyayo

Nakuamini Yesu ee
Kiongozi wangu bora ee
Kama kipofu kwa fimbo yake
Sitakuacha ehe 

Nakuamini Yesu ee
Kiongozi wangu bora ee
Kama kichanga kwa mama yake
Sitakuacha ehe 

Nakuamini Yesu ee
Kiongozi wangu bora ee
Kama kipofu kwa fimbo yake
Sitakuacha ehe 

Nakuamini Yesu ee
Kiongozi wangu bora ee
Kama kichanga kwa mama yake
Sitakuacha ehe 

Watch Video

About Nakuamini

Album : Mwamba (Album)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Aug 09 , 2020

More lyrics from Mwamba album

More JESSICA HONORE Lyrics

JESSICA HONORE
JESSICA HONORE
JESSICA HONORE
JESSICA HONORE

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl