
My Valentine Lyrics
My Valentine Lyrics by KUSAH
Nimekupenda pesa
Nimependa sura
Nimependa kila kitu kwako
Mungu kampa bori kampa jicho
Kambariki vyote vilivyopo
Nataka nimfiche kwa kificho
Niepuke walimwengu na vijicho
Tushaanza hadi kufanana
Tunaringia upendo tunapendana
Michezo ya kurushana
Na tumimia usiku ni kukandana
Mi na baby tumekula dear mini
Mi na baby
Yaani kidedi imebaki fungwa ndoa
Mi na baby
Mi na baby tumekula dear mini
Mi na baby
Yaani kidedi imebaki fungwa ndoa
Mi na baby
You are my valentine
You are my valentine
You are my valentine
You are my valentine
Walai umejaliwa
Nimetafuta hadi kasoro sijaona
Ni kweli nimezidiwa
Umenishika kwa mtima nimekomaa
Mzima mzima nitekenya
Acha wanicheke we
Mbagala mi we Temeke
Tushaanza hadi kufanana
Tunaringia upendo tunapendana
Michezo ya kurushana
Na tumimia usiku ni kukandana
Mi na baby tumekula dear mini
Mi na baby
Yaani kidedi imebaki fungwa ndoa
Mi na baby
Mi na baby tumekula dear mini
Mi na baby
Yaani kidedi imebaki fungwa ndoa
Mi na baby
You are my valentine
You are my valentine
You are my valentine
You are my valentine
Watch Video
About My Valentine
More KUSAH Lyrics
Comments ( 0 )
No Comment yet
You May also Like
Get Afrika Lyrics Mobile App
About AfrikaLyrics
Follow Afrika Lyrics
© 2025, We Tell Africa Group Sarl