...

Rewind Lyrics by KUSAH


Babe really definition

Inataka attention

Nataka nikuwaze

Nataka nikupende

Hadi wapate questions

Wewe ndio wangu , (oh my boo)

Chochote unachotaka, yes I do

Basi kanyaga break iko kwa mguu

Tusije pata ajali tuta juu (juu juu)

We sema chochote me pesa ninayo (oyo yo yo)

Ukitaka chochote namba unayo (oyo yo yo)

We tamba popote na visa unayo (oy yo yo)

Ukitaka chochote namba unayo oh oh

Fanya unarewind rewind wee (eeeh)

Unazungusha antena (aajeee)

Kama una rewind rewind antena (eeeh)

Unazungusha antena (aajeee)

Rewind come back again selekta

Huu ndo ule ufundi ambao huwez upata VETA

We ni mzuri mpaka vinywa vya maHaters ah

They give you compliments ah

Sio hata confidential aswear confidential

We ndo namba 1 yan 9 kwenye 10

Mtoto umejaliwa zaidi ya parking ya Lugumi

Mayweather, michezo ya fedha kwenye ngumi

We kiboko, we nyangumi, we ni moto, we ni kuni

Wakiku Compare itakua dharau mana we hufanani

Ligi kubwa unawaletea sunami

unawarudisha chekechea form 1

Wanajidai ni special kumbe mtumba wa grade 1

The way you rewind back n forth mah

You remind me kwa Ramaphosa

Antenna nikikukosa weh

Basi tena ntampata nani

Na tena natamani nikuone, mapemaa oh oh oh

Omotola Ojolade, oh oh

Ulivo mzuri kila upande oh oh

Na urefu wa Dayna Nyange

Oh ma baby she is the baddest ah

We sema chochote me pesa ninayo (oyo yo yo)

Ukitaka chochote namba unayo (oyo yo yo)

We tamba popote na visa unayo (oyo yo yo)

Ukitaka chochote namba unayo oh oh

Fanya unarewind rewind wee (eeeh)

Unazungusha antena (aajeee)

Kama una rewind rewind antena (eeeh)

Unazungusha antena (aajeee)

Watch Video

About Rewind

Album : (Single)
Release Year : 2025
Copyright : (C) Winning Music
Added By : Farida
Published : Jun 22 , 2025

More KUSAH Lyrics

KUSAH
KUSAH
KUSAH

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2025, We Tell Africa Group Sarl