Mainda Lyrics by LODY MUSIC


She don’t like me cause she likes my money
Hata na me nimeridhika namwaga madola
Ili tu anipende anataka iphone
Naona watoto wangu wamepata mama bora
Admire namuamisha temeke namleta kinondoni (hapo sasa)
Ya bongo si hapatufai si turuke mamtoni
Akhafupi size ana ninyamanyama mainda kabobea
Anapenda manonize na vinya manyama mainda kakolea
Kukuacha sidhani

Mainda mainda
Mainda mainda  (mainda)
Mainda mainda
Mainda mainda  
Nataka tuende wote chumbanai
Mainda mainda
Mainda mainda
Mainda mainda  (mainda)
Mainda mainda
Mainda mainda

She us so potential, kwenye kazi yake
Akipiga picha mimi mate kutoka
Akipita vigelegele hilo
Shepu lake kama demu wa kishoka
Confidential yani brand yake huko
Madukani huwezi kutaka kopa
Akipiga miselesela na mashoha zake
Hii manzi ogopa
Admire namuamisha atemeke namleta kinondoni (hapo sasa)
Ya bongo si hapatufai si turuke mamtoni
Akhafupi size ana ninyamanyama mainda kabobea
Anapenda manonize na vinya manyama mainda kakolea
Kukuacha sidhani

Mainda mainda
Mainda mainda  (mainda)
Mainda mainda
Mainda mainda  
Nataka tuende wote chumbanai
Mainda mainda
Mainda mainda
Mainda mainda  (mainda)
Mainda mainda
Mainda mainda

Watch Video

About Mainda

Album : Mainda (Single)
Release Year : 2022
Added By : Farida
Published : Oct 01 , 2022

More LODY MUSIC Lyrics

LODY MUSIC
LODY MUSIC
LODY MUSIC
LODY MUSIC

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl