Sema Lyrics by HAITHAM KIM


We ndo ulifanya najiuliza
Wapi napata wakuntuliza
Nafsi ya moto puliza puliza

Penzi ni moto ukaniunguza
Bila kujali kama nami ni binadamu

Imenipotea hamu
Ila kihali salama 
Nakula vitamu
Usijesogea kwangu

Tena fata yako njia ya kawaida
Sito come sito come kwako na
Shida sina ya kupendwa na weii
Uu baby

No no no shida 
Sina hamu sina kitu cha kuagiza 
Wala cha kuhongwa na weii

Nilikuuliza kama nafaa au sifai sema
Ungenieleza kama sifaiiii kuwa wako
Nilikuuliza kama nafaa au sifai sema
Ungenieleza kama sifaiiii kuwa wako

Tena fata yako njia ya kawaida
Sito come sito come kwako na
Shida sina ya kupendwa na weii
Uu baby

No no no shida 
Sina hamu sina kitu cha kuagiza 
Wala cha kuhongwa na weii

Watch Video

About Sema

Album : Sema (Single)
Release Year : 2020
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
Published : Sep 10 , 2020

More HAITHAM KIM Lyrics

HAITHAM KIM
HAITHAM KIM
HAITHAM KIM
HAITHAM KIM

Comments ( 0 )

No Comment yet



About AfrikaLyrics

Afrika Lyrics is the most diverse collection of African song lyrics and translations. Afrika Lyrics provides music lyrics from over 30 African countries and lyrics translations from over 10 African Languages into English and French

Follow Afrika Lyrics

© 2024, We Tell Africa Group Sarl